Don't ever try !!.
Kuhusu LISSU alishasema hataki Huruma, Tena akisisitiza mpeleke kesi Mahakama Kuu , akikutwa na Hatia anyongwe !!.
Kuhusu Samia , Ilikua ni jambo gumu na lisowezekana Kwa Nchi kuendelea kua Na Rais ambaye chini yake Utekaji utaendelea, Mauaji ya Watu wakiwemo Viongozi wa Dini yataendelea, Kesi za KISIASA ziendelee, Uuzaji wa Maliasili na Rasilimali za Nchi uendelee , Umasikini ukiongezeka Deni la Taifa likiongezeka , NI NGUMU MNO NA ISINGEWEZEKANA.
Niwaambie Watanzania, wawe na Amani, watulie na wawe na Furaha , SAMIA HANA NAMNA YOYOTE KUENDELEA KUA RAIS Licha ya hizi sarakasi zake , Kwanza Tumuonee Huruma !!.