kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 11,120
- 24,395
Tumebakiza masaa machache kuelekea barabarani! Nimejiandaa vya kutosha
Maandamano yalopita nilikua na cycle yangu ya watu watano, now tupo watu 17 tunaoaminiana na kila mmoja ashaandaa bango.
Kesho nitatoka kuandamana kama nilivyotoka Tarehe 29 hatuwezi kufika hatua nchi inachezewa kiasi hiki
D9 tunatoka
Tukutane kesho!!
Maandamano yalopita nilikua na cycle yangu ya watu watano, now tupo watu 17 tunaoaminiana na kila mmoja ashaandaa bango.
Kesho nitatoka kuandamana kama nilivyotoka Tarehe 29 hatuwezi kufika hatua nchi inachezewa kiasi hiki
D9 tunatoka
Tukutane kesho!!