Kijana
Nikuulize maswli haya labda huenda ukatupatia mwafaka wa penzi lenu
Swali la kwanza je licha ya hiyo dosari ya kukuta voice sijui msg kwa simu yake je bado unamhitaji ?
Je unampango wa kumwoa?
Je hiyo fedha yake unavyoona ni kwamba anaitoa wapi?
Unadhani kuna MBABA fulani linamega na linatoa posho nzito kwa mpenzi wako ndo maana unapewa uzitunze?
NIJIBU NIKUSHAURI
Nikuulize maswli haya labda huenda ukatupatia mwafaka wa penzi lenu
Swali la kwanza je licha ya hiyo dosari ya kukuta voice sijui msg kwa simu yake je bado unamhitaji ?
Je unampango wa kumwoa?
Je hiyo fedha yake unavyoona ni kwamba anaitoa wapi?
Unadhani kuna MBABA fulani linamega na linatoa posho nzito kwa mpenzi wako ndo maana unapewa uzitunze?
NIJIBU NIKUSHAURI