Tumeanza mahusiano...

Tumeanza mahusiano...

usimwamini mwanamke, tumia izo fedha,

then mpige kibuti,badili namba, utakuja kunishukuru
 
Muoe huyo kaa nae anakupenda, hupati mwengine kama yeye, hayo makosa yasikufanye ulipize kisasi hakuna mkamilifu
 
Usimuamini mwanamke hata kidogo.
Mimi kila jumapili nakula mbususu ya demu mmoja hivi ambaye amemuweka mchumba wake DP WhatsApp takribani miezi miwili sasa akaisindikiza picha hiyo na maneno haya "Nakupenda Kinoma my one and only".

Jamaa huko aliko atakua anavimba kichwa balaa[emoji1787][emoji1787]
Wakati huku masela tunajipigia tu mbususu ya "mai waifu tubii wake"[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Daaah hatari Sana[emoji2][emoji2][emoji2]
 
Ni voice note tu au kuna kingine kinachokufanya ulipize kisasi?
 
Ni voice note tu au kuna kingine kinachokufanya ulipize kisasi?
Ni hicho2 na zile voice note zinaonesha kuna mtu huwa anamwaga mpunga wa kutosha so zile hela muda mwingine mpaka nahisi huwa nazitumia
 
Member wamecharuka kuandika upuuzi.
 
Yaani unataka kuzitumia hizo pesa kama kulipa kisasi ama wataka kuzitumia kisha uzirudishe

Inaelekea humpendi tena?
Toka miaka yote hajawahi kukufanyia mazuri? Leo kakosa ndio ulipe kisasi?
Kuwa mwanaume kamili kama umeshindwa kumsamehe mwambie kuwa huwezi kuwa naye tena na hiyo sababu umwambie halafu endelea na mambo yako
Kutumia ela yake siyo kama unalipa kisasi bali utaendelea kuumia zaidi
Pia huwezi kujua mwenzako atachukua uamuzi gani
Na kuachana na mtu siyo destuli lazima mgombane na kushindwa hata kusalimiana, unaweza kuashana na mtu kimahusiano na maisha mengine mkaendelea bila kuwa na mahusiano
KISASI SIYO JAMBO NZURI
 
mpaka sasa ameshaweka kiasi fulan mm cjaweka nafsi inanituma kuzitumia pesa ambazo ameweka yeye. Je ni sahihi kufanya hivyo? Naombeni ushauri wenu
Tumia hizo Pesa mwanangu, ila Kadiria kiasi usizimalize zote.

Kama yeye angekuwa na mashaka na wewe na kwemye akaunti ni wewe ndie uleweka pesa naamini asingejiuliza mara mbili katika kuzitumia.

Tuma kisha tafuta sababu ya maana kumueleza pesa zilikoenda sio uanze kumwambia ati umelipa kisasi.

Narudia, Tumia hizo pesa mwanangu Tumia bhana. Kwani shilingi ngapi,
 
Habari za muda huu wapendwa nina mchumba wangu tumeanza mahusiano tangu mwaka 2014, yeye akiwa darasa la saba mimi nikiwa form one mpaka leo hii yeye yupo chuo na mimi nipo chuo kikuu bado tuna mahusiano, lakin siku moja nlijaribu kushika simu yake nikakuta kuna voice note ambazo ametumiwa na mwanaume mwingine, alipogundua nimeona alilia sana akaomba nimsamehe, basi nikapotezea lakini juzi kati aliniambia nisajiri kadi ya bank kwa ajili ya kutunza hela ambazo zitatusaidia kuanzisha maisha, mpaka sasa ameshaweka kiasi fulan mm cjaweka nafsi inanituma kuzitumia pesa ambazo ameweka yeye. Je ni sahihi kufanya hivyo? Naombeni ushauri wenu
Acha roho mbaya mtoto wa kiume, kama huna malengo nae mrudishie hela yake na kumwambia ukweli
 
Back
Top Bottom