Hapana hatudaiyan chochoteBrother pia jitafakari wewe kwanini anafanya hayo....ila kama unadaiwa na huyo make sure unamlipa au kama kuna vitu mlifanya nae for ur future but nao mmeachana na hivyo vitu bado unavyo wewe na anaona kuna dalili za kudhulumiwa kwa hivyo brother kuwa mstaalabu rejesha hivyo vitu!
Usimjibu kabisa, baada ya muda mfupi tu ataacha. Imeshawahi kunitokea nilichofanya sikumjibu chochote aliacha mwenyewe.Nimesha m block waungwana ila cha kushangaza anaandika hadi sms za kawaida kibaya zaid anatumia namba tofauti..nashindwa kubadili namba sababu namba yangu natumia kwenye mambo yangu ya kibiashara
Haina haja kumripoti polisi. Mnapokuwa wapenzi mnashea vitu vingi pamoja na siri unazozijua na zingine unaweza usijue kama anazifahamu, anaweza kukuumiza.Ukicheka na mbwa atakufata hadi msikitini
kamrepot police upewe rb achukuliwe hatua za kisheria
Hakuridhika na uamuzi wakoUkweli mm ndio nimemuacha
Yupo kuna mmoja Jana tu niliweka thread akaanza kuongea maneno ya kuku wa kienyeji kabisa yani what we had was almost 7months ago,worse part it was mahusiano ya kwenye simu nafsi yangu ilipinga kabisa kuonana nae aisee hatukuwahi kuonana, tuliishia kutumiana picha tena fake ones labda yeye kama alituma za kweli, sababu niliona hakuna usalama hapa kabisa.Habar wandugu wa jamii forum.
Yupo binti mmoja tuliyekuwa na mahusiano ya kimapenz hapo..awali kutokana na sababu mbali mbali tukajikuta kila mtu anashika njia yake. Upande wangu, sikuwahi kumtukana wala kafanya chochote cha kumuuzi.
Cha ajabu mwenzangu ameanza kunitukana mitandaoni nikipost picha kwenye page yangu..anaandika comment za ajabu za kunishusha heshima yangu, nimejaribu kwenda nae kistaarabu naona mwenzangu namvimbisha kichwa. Sasa wadau hebu nishaurin maana wanasema hasira hasara, huyu mtu nimfanye nn kinacho mstahili. Ili ajue mahusiano sio ndoa..maana anakoelekea anazid kunichafulia heshima yangu niliyoijenga kwa miaka mingi kwenye jamii, halafu yeye anakuja kuvuruga kirahisi rahisi.
Sawa mkuu..urbanGentleman nimekupata nitafanya hvyYupo kuna mmoja Jana tu niliweka thread akaanza kuongea maneno ya kuku wa kienyeji kabisa yani what we had was almost 7months ago,worse part it was mahusiano ya kwenye simu nafsi yangu ilipinga kabisa kuonana nae aisee hatukuwahi kuonana, tuliishia kutumiana picha tena fake ones labda yeye kama alituma za kweli, sababu niliona hakuna usalama hapa kabisa.
Hee Jana nimeanzisha thread alipotokea sipajui anaropoka yani kienyeji nikabaki nasoma nacheka sijibu kitu sabu alichokitaka hakikufanikiwa
So nikushauri kaa kimya atachoka mwenyewe ikibidi mueleze mwenzi wako atakuelewa ata kama itatokea shida mbeleni
Mshitaki si makosa ya mtandao hayo. Siku nyingine uwe unafanya indepth analysis ya hawa mademu wengine wanakuwa na matatizo ya akili mkuu.Nimesha m block waungwana ila cha kushangaza anaandika hadi sms za kawaida kibaya zaid anatumia namba tofauti..nashindwa kubadili namba sababu namba yangu natumia kwenye mambo yangu ya kibiashara