Yan hajatofautiana na huyu mpuuz..kananikera sanaMkuu, najua mtihani ulionao, mm iliwahi kunitokea kwa mchaga mmoja, uuuwi, yaani, nilikuwa nikiposti kitu anaandika we bwege tu, aliwahi kuja mpaka ofisini akaongea stit sana, akatishia kuniloga, akachunguza nilienae akaanza kumtumtukana. Aise, niliteseka sana mpaka nilipobadili namba
Eenh bwana eenh hako kadada inaonekana ni kafupi halafu keusiiiiiii...Yan hajatofautiana na huyu mpuuz..kananikera sana
Hp nimekuelewa MaseratiDuh!!! Pole,
Alikupenda sana.
But we mkaushie tu, ukimjibu utamtia moriiiii yaani ndio ataanza kukucharukia like she get what she want ile mbishane, mgombane. Haujui tu jinsi gani inamuuma unavyompotezea. We girls like mtu akujibu mbwatizane, but akikunyamazia aiseee inauma. So muelewe tuuu na mpotezee
Thread closed!Walioweka block ulidhani vilaza!???....au unamuonea huruma!???
Ni wale watu wenyeWalioweka block ulidhani vilaza!???....au unamuonea huruma!???
Bado anakupenda na hataki kuamini kuwa kweli mmeachana.(Mapenzi yanauma sana)Nimesha m block waungwana ila cha kushangaza anaandika hadi sms za kawaida kibaya zaid anatumia namba tofauti..nashindwa kubadili namba sababu namba yangu natumia kwenye mambo yangu ya kibiashara
Mkirudiana uje ulete mrejesho hapa jukwaani mana naona kila dariri yakurudiana..Yan hajatofautiana na huyu mpuuz..kananikera sana
Duh! sijui kibao hiki aliimba nani?Ni wale watu wenye
Maisha ya kukomoana
Ndio maana ajamblock
Ili awe anamuona