Mr. MTUI
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 8,130
- 8,330
niliuona huo mchezo..pole sanaYupo kuna mmoja Jana tu niliweka thread akaanza kuongea maneno ya kuku wa kienyeji kabisa yani what we had was almost 7months ago,worse part it was mahusiano ya kwenye simu nafsi yangu ilipinga kabisa kuonana nae aisee hatukuwahi kuonana, tuliishia kutumiana picha tena fake ones labda yeye kama alituma za kweli, sababu niliona hakuna usalama hapa kabisa.
Hee Jana nimeanzisha thread alipotokea sipajui anaropoka yani kienyeji nikabaki nasoma nacheka sijibu kitu sabu alichokitaka hakikufanikiwa
So nikushauri kaa kimya atachoka mwenyewe ikibidi mueleze mwenzi wako atakuelewa ata kama itatokea shida mbeleni