PostGE2025 Tume ya uchunguzi ya Jaji Chande yakutana na Sabaya, kujadili matukio ya Uchaguzi wa 2025

PostGE2025 Tume ya uchunguzi ya Jaji Chande yakutana na Sabaya, kujadili matukio ya Uchaguzi wa 2025

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,436
Reaction score
5,234
Tume ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani ya Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, imekutana na kufanya mahojiano na aliyewahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya leo Februari 24, 2026.

Kikao hicho kilichofanyika katika ofisi za Tume zilizopo ndani ya jengo la Benki Kuu ya Tanzania (BoT) jijini Dar es Salaam, ni sehemu ya mfululizo wa mahojiano ambayo Tume inayafanya na viongozi wa sasa, wastaafu, na wadau mbalimbali ili kukusanya taarifa sahihi na ushauri wa kitaalamu.

Soma Pia: Tume ya Jaji Chande yakutana na Jaji Warioba kujadili matukio ya Uchaguzi wa 2025

Katika mkutano huo yamejadiliwa kwa kina namna matukio ya uvunjifu wa amani yalivyoanza, athari zake kwa wananchi, mali zao na miundombinu, pamoja na ushauri na mapendekezo ya namna ya kudhibiti na kuzuia matukio kama hayo yasijirudie siku zijazo.

Screenshot 2026-02-24 185334.png
Screenshot 2026-02-24 185343.png
Screenshot 2026-02-24 185354.png
 
Tume ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani ya Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, imekutana na kufanya mahojiano na aliyewahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya leo Februari 24, 2026.

Kikao hicho kilichofanyika katika ofisi za Tume zilizopo ndani ya jengo la Benki Kuu ya Tanzania (BoT) jijini Dar es Salaam, ni sehemu ya mfululizo wa mahojiano ambayo Tume inayafanya na viongozi wa sasa, wastaafu, na wadau mbalimbali ili kukusanya taarifa sahihi na ushauri wa kitaalamu.

Soma Pia: Tume ya Jaji Chande yakutana na Jaji Warioba kujadili matukio ya Uchaguzi wa 2025

Katika mkutano huo yamejadiliwa kwa kina namna matukio ya uvunjifu wa amani yalivyoanza, athari zake kwa wananchi, mali zao na miundombinu, pamoja na ushauri na mapendekezo ya namna ya kudhibiti na kuzuia matukio kama hayo yasijirudie siku zijazo.

View attachment 3548171View attachment 3548172View attachment 3548173
Wanajadili chanzo cha vurugu pamoja na uharibifu wa mali, basi?
Maisha ya watu yaliyopotea menyewe hayana umuhimu katika mjadala wao huo?
Very very pathetic!
 
Back
Top Bottom