PISTO LERO
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 2,819
- 1,454
Kama matokeo ya uchaguzi ya zanzibar yamefutwa na zec je?
matokeo ya Tanzania bara yana uhalali gani kisheria na kikatiba?
kwasababu Raisi wa muungano anachaguliwa pia na wazanzibar
tusaidiane mawazo tafadhali.
matokeo ya Tanzania bara yana uhalali gani kisheria na kikatiba?
kwasababu Raisi wa muungano anachaguliwa pia na wazanzibar
tusaidiane mawazo tafadhali.