Kwa hiyo nawe hufahamuUkiwa umevurugwa huwezi kujua faida yake kwa serikali.
Teh teh teh teh tehChangamoto hazikosekani na ndo maana zipo nchi walilazimika kuhesabu kwa Mkono. Hapa Kenya inalengwa
Kutokana na Mafanikio hayo, zipo nchi zimetaka kujifunza kutoka kwenye tume yetu.
yaani we katika habari yote umeona koti tu...hiyo ni fasheni huoni alivyopendeza?Huyo rais mbona kavaa makoti rangi tofauti?
Tatizo mizukaLubuva alirudisha mabilioni kwa magufuli huku daftari la kudumu latakiwa kufanyiwa uodate mara kwa mara! Hata hiyo kura ya maoni itaganyika kwa daftari lenye kasoro! Lubuva anajipendekeza tu.
Weka picha tuone wanavyopeana hundiRais Amerejesha zile Bilioni 12 walizorejesha Tume Serikalini ili wajenge Ofisi
Kwa sasa Mwenyekiti ni Lubuva na ndiye atakayesimamia Ujenzi wa Jengo hilo. Acheni uduwanziEti atafurahi sana kama tume itajenga ofisi zake Dodoma , anasema atamshangaa sana Lubuva kama hata penda kuhamia Dododma na yeye ni MZAALIWA WA DODOMA, ina maana Lubuva atakuwa mwenyekiti wa kudumu wa hii tume?! Inashangaza sana.
Kwani umesikia kwamba hundi hiyo wanapeana sasa?Weka picha tuone wanavyopeana hundi
Ekotikee ekotikee ekotikee