Magufuli kaanza kuongea wakuu. Naomba tumsikilize kwanza halafu akimaliza tutaendelea kuchangia.
Hakuna cha kufanya ukiwa matokeo aliyoyatangaza yanawafanya UKAWA wamtambue na kumuita Magufuli kama Rais TanzaniaNisaidieni hivi NEC ya Lubuva ni tume huru? Kama siyo huru nini kifanyike.
Kajaa tele ka pishi la pilau.
Iko huru mkuu labda kama unaagenda nyingine.Nisaidieni hivi NEC ya Lubuva ni tume huru? Kama siyo huru nini kifanyike.
Mshindani huyo huyo anateua msimamizo wa mechi!. Ebu tutumie hata alikili ndogo tu!.Hivi hata tunapokwenda Msikitini au Kanisani kweli hatulioni hili kuwa ni dhambi na bado tunashika misahafu na bibilia kuomba tusamehewe lakini baada ya masaa bado tuko kwenye ndimbwi lile lile?
Mkuu tunakushuru endelee kutupa kinachojili kwenye hiyo hafla.Anawapongeza viongozi wa vyama vya siasa vilivyoshiriki uchaguzi uliomalizika na amewapongeza wale waliofika kwenye hafla hii akiwemo Mzee wa Mapesa
Nadhani anarefer kauli ya Jenerali Ulimwengu ya kutaka JK ashitakiwe. Hizi siasa za kiafrika za kinafiki sana.Sijaelewa JPM anaposema rais mstaafu (Jakaya Kikwete)uko SALAMA usisikilize maneno ya hovyo hovyo ya watu?
Jk hana shida ni mzee wa maendeleo tu full amani.Amesema Kikwete yupo salama.
Ukiwa umevurugwa huwezi kujua faida yake kwa serikali.Ina faida gani kwabTaifa?