Tume ya uchaguzi inapokea fomu za wagombea wa CCM ila wa upinzani wanafunga ofisi na afisa kakutwa mtaani baada ya kukimbia ofisi.

Naona hela za uchaguzi hawana, sasa wanataka watangazwe wa ccm kuwa wamepita bila kupingwa.
Basi namna sahihi ilikuwa kutofanyika uchaguzi kabisa. Sasa kama hata haya madogo yanatushinda na makubwa je,..................
 
Bila tume huru mm nafamilia yangu marufuku kupiga kura hakuna haki inayoniletea usumbufu unadanganywa kura nihakiyako kumbe nihaki ya anaetangaza sisi tunapiga kura ila anaechagua niyule anaetangaza kupotezeana mudanimechoka
Ni mjinga pekeyake atakayepiga Kura mwaka huu siwezi kufanya kuwa mjinga nipige Kura hizi za kishamba..
Hata huo uchaguzi Mkuu mwakani bila time huru ya uchaguzi ni kazi bure Tu

Na Mimi napiga marufuku familia Yangu kupiga Kura mwaka huu na mwakani
 
Hii Tume ya ccm ni hatari sana yaani wanatangaza mitaani kwamba Vyama vijitokeze kuchukua fomu lakini cha Kushangaza leo Ofisi zote zimefungwa na Wasimamizi wasaidizi wameamriwa waondoke ofisini ili wagombea wa vyama vya Upinzani vikose haki ya Kugombea.

Wagombea wa Vyama vya Upinzani wamekaa kwenye ofisi za Tume kuanzia asubuhi hadi jioni hii ofisi zikiwa zimefungwa lakini cha Kushangaza tukamkuta Msimamizi anakaa tu mtaa wa pili kama anavyoonekana kwenye picha yaani amefunga ofisi ya Kata ya Oldeani halafu ameenda kukaa Kata jirani Changarawe hii ni aibu kwa TAIFA hili ni aibu tena aibu tupu.

Sasa kuna Sababu gani ya Kutangaza Uchaguzi ambao hamtaki wapinzani wenu kuchukua fomu?

Karatu ina Uchaguzi wa Marudio kwenye Kata tano ambapo Kata moja tu ya Mbulumbulu ndio iliyotoa fomu kwa Vyama vya Upinzani Kata zingine nne Ofisi za Tume Zimefungwa na wagombea wa ccm tayari wameshapewa fomu zao.View attachment 1113562View attachment 1113563View attachment 1113564

Baada ya DED kuondolewa na Mahakama,wapinzani hizo forms wanarudisha kwa nani na wapi ?
 
Hii ni laana kwa umoja wa taifa letu.Halafu kuna wanaume wanajitapa wanakubalika kwa kiwango cha std gauge.Huu ujinga inabidi utafutiwe dawa mbadala.
 
Ni mjinga pekeyake atakayepiga Kura mwaka huu siwezi kufanya kuwa mjinga nipige Kura hizi za kishamba..
Hata huo uchaguzi Mkuu mwakani bila time huru ya uchaguzi ni kazi bure Tu

Na Mimi napiga marufuku familia Yangu kupiga Kura mwaka huu na mwakani
Hayo ni maamuzi ya kijinga, ni kama vile umeamua kuwaachia wenye meno wale
 
Upinzani ujipange upya, vinginevyo uchaguzi wa serikali za mitaa unaweza kuta halmashauri mzima wanaohitajika kurudisha fomu hazijapokelewa. Viongozi wa upinzani ni kama vile wamepigwa sindano ya ganzi.
 
Hii Tume ya ccm ni hatari sana yaani wanatangaza mitaani kwamba Vyama vijitokeze kuchukua fomu lakini cha Kushangaza leo Ofisi zote zimefungwa na Wasimamizi wasaidizi wameamriwa waondoke ofisini ili wagombea wa vyama vya Upinzani vikose haki ya Kugombea.

Wagombea wa Vyama vya Upinzani wamekaa kwenye ofisi za Tume kuanzia asubuhi hadi jioni hii ofisi zikiwa zimefungwa lakini cha Kushangaza tukamkuta Msimamizi anakaa tu mtaa wa pili kama anavyoonekana kwenye picha yaani amefunga ofisi ya Kata ya Oldeani halafu ameenda kukaa Kata jirani Changarawe hii ni aibu kwa TAIFA hili ni aibu tena aibu tupu.

Sasa kuna Sababu gani ya Kutangaza Uchaguzi ambao hamtaki wapinzani wenu kuchukua fomu?

Karatu ina Uchaguzi wa Marudio kwenye Kata tano ambapo Kata moja tu ya Mbulumbulu ndio iliyotoa fomu kwa Vyama vya Upinzani Kata zingine nne Ofisi za Tume Zimefungwa na wagombea wa ccm tayari wameshapewa fomu zao.View attachment 1113562View attachment 1113563View attachment 1113564
Mmeshindwa kumpiga makofi? Upinzani Tanzania ni dhaifu sana! Mnatakiwa mtowe fundisho kwa Kata moja tu watashika adabu kupokea maelekezo kutoka juu! Sasa unakuja kujiliza hapa jf tukusaidieje?
 
Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi kama haya yanayosemwa ni ya kweli basi Tume yako ina matatizo na unatakiwa ujitafakari. Uchaguzi ni suala la la demokrasia na wagombea wote wanatakiwa kupewa haki sawa. kama wagombea wengine wanaaenda kuchukua fomu kwa muda uliowekwa na Tume yako na hawamkuti msimamizi katika ofisi sasa haki iko wapi. Nashauri ofisi yako ifuatilie jambo hili na hili litakutia doa sana. Bado 2020 inakuja.
 
Hilo pozi akipigwa picha la kishamba sana. Mtu kama huyo dawa yake ni kibano tu hakuna njia nyingine.
Huyu ni mfanyakazi wa Serikali,analipwa mshahara kwa kodi zetu.Kwani hapo ni saa ngapi si saa za kazi na kfunga ofisi ya serikale,arudishe fedha zetu maana hakuwa kazini.
Hilo pozi akipigwa picha la kishamba sana. Mtu kama huyo dawa yake ni kibano tu hakuna njia nyingine.
Hakujua kama anapigwa picha.Cha muhimu siku hiyo hakuwa kazini asilipwe mshahara kama "Hapa ni kazi tu" Lakini pia nakumbuka hata lile jimbo la Meru walilalamika viongozi wa vyama vingine kufanyiwa hivi hivi na hakuna chochote kilichofanyika kukomesha tabia hii.Ngoja sie watazamaji tuone na hii jeeee watendaji wamesingiziwa? Otherwise isijekuwa ni maagizo...............
 
.
tapatalk_1556953763151.jpeg
 
Acheni yoga,CCM CHAMA KUBWA HAIWEZI KUWAKIMBIA NINYI AMBAO HAMJAJIANDAA KUSHINDA
Naona ya Korogwe (Nkoogwe) Vijijini yanajirudia tena. Kule kwa "masaa zaidi ya matano" vyama takribani vitano vya upinzani vilishindwa kumpata mpokea fomu, hawakujua yuko ofisi gani na wala bosi wake yu wapi. Mahali penyewe unajua pana majengo managapi? Lakini yule wa CCM ambae alikuwa machoni pa hao wapinzani kwa aina ya kuustajabisha aliweza kurudisha fomu na kupita bila "kupingwa". Huu ndio ustarabu wa Tume ya Uchaguzi inayo ongozwa na Jaji aliyetukuka kama yule Jaji mwingine ambaye ni Msajili wa Vyama.
 
Back
Top Bottom