Cha ajabu wameendelea kukaa kimya kuhusu Kura ya maoni katiba mpya
Muhimu sio ratiba bali maandalizi ya uchaguzi huru na haki
Mbona hakuna tarehe ya kutangaza matokeo hasa ya Rais? Maana ndo kazi Yao inaishia hapo. Kuapishwa na issue nyingine.
Cha ajabu wameendelea kukaa kimya kuhusu Kura ya maoni katiba mpya
Muhimu sio ratiba bali maandalizi ya uchaguzi huru na haki
Cha ajabu wameendelea kukaa kimya kuhusu Kura ya maoni katiba mpya
Muhimu sio ratiba bali maandalizi ya uchaguzi huru na haki
Hili ni pigo kubwa sana kwenu, litawafunga midomo ya uogo wenu wa kuwa oohh Kikwete anataka kuendelea kutawala.
Hapo mmekatizwa kujifarij kabla haja kubwa haijawaishia. Inabidi mkitaka msitake mtoke na albaki kwenye suruali.
Nyie mna shida ya katiba au uchaguzi?
Hata hiyo katiba mpya mtatangaziwa mna wasiwasi wa nini na mliisusia? Leo mnahamu nayo? Unanshangaza!
tume hii hii ilisema kura ya maoni itafanyika 30 oktoba na hakuna kura ya maoni iliyofanyika,kwa hiyo hata hii inaweza kuwa kiinimacho ili jk aendelee kubaki madarakani na aendeleeni kutalii around the world!!!!Hili ni pigo kubwa sana kwenu, litawafunga midomo ya uogo wenu wa kuwa oohh Kikwete anataka kuendelea kutawala.
Hapo mmekatizwa kujifarij kabla haja kubwa haijawaishia. Inabidi mkitaka msitake mtoke na albaki kwenye suruali.
Nyie mna shida ya katiba au uchaguzi?
Hata hiyo katiba mpya mtatangaziwa mna wasiwasi wa nini na mliisusia? Leo mnahamu nayo? Unanshangaza!
Cha ajabu wameendelea kukaa kimya kuhusu Kura ya maoni katiba mpya
Muhimu sio ratiba bali maandalizi ya uchaguzi huru na haki
Hili ni pigo kubwa sana kwenu, litawafunga midomo ya uogo wenu wa kuwa oohh Kikwete anataka kuendelea kutawala.
Hapo mmekatizwa kujifarij kabla haja kubwa haijawaishia. Inabidi mkitaka msitake mtoke na albaki kwenye suruali.
Nyie mna shida ya katiba au uchaguzi?
Hata hiyo katiba mpya mtatangaziwa mna wasiwasi wa nini na mliisusia? Leo mnahamu nayo? Unanshangaza!