Tume ya Maridhiano isikose Mashehe!

Tume ya Maridhiano isikose Mashehe!

Sheikh Ponda akiongea utamsikia anasema "Mimi na Masheikh wenzangu tumefanya tafiti tumegundua....."

Hii kitu huwezi kusikia kwa Masheikh wa bei za jioni ambao wanazidiwa akili hadi nawauza karanga.

Haiwezekani Muuza Karanga anazo taarifa za TEC kutoa Waraka tangu kipindi cha Nyerere hadi sasa ila wewe Sheikh kabisa unasimama mbele za watu unawalisha Matangopori eti hawajawahi kutoa Waraka Rais akiwa Mkristo. TF?!!!

Samahani nje ya Mada.
 
Sheikh Ponda akiongea utamsikia anasema "Mimi na Masheikh wenzangu tumefanya tafiti tumegundua....."
Nyinyi wagalatia miaka nenda rudi humu JF mlikuwa mnamuita Sheikh Ponda ni Gaidi
Leo mnajifanya mnajua saaaana
Haya soma mwenyewe

1765136957834.png

1765136973351.png

1765137003788.png



 
Back
Top Bottom