Tume ya mabadiliko ya katiba

Mzee mtei hapa umepotoka kabisa, mambo ya kuweka udini kwenye mambo ya kitaifa ndo yanaviathiri vyama vya upinzani kutokana na propaganda za ccm. Ww ulitakiwa ujadili mambo ya kitaifa na sio mambo ya dini.
 
Mkuu Ukweli unabakia pale tu hata kama huutaki.. Acha kumhangaisha mzee wa watu wakati kasema point na ushahidi upo. Refer kwenye majina ya tume.

Lakini kama ungetaka uwiano wa dini, Zanzibar kuna wakristu wangapi wanaoweza kuwa kwenye hiyo tume? Wengi kule ni Waislamu. Hata kama wale walioteuliwa kutoka bara wangekuwa Wakristu, Waislamu wa Bara nao wangekuwa na haki ya kulalamika, kwa sababu wale wa Visiwani wanatoka upande mwingine wa Muungano.

Tukumbuke kuwa Tanzania ni muungano wa nchi mbili na kulingana na terms za muungano lazima kuwe na uwiano kwenye masuala ya msingi kama kubadilisha katiba ya Jamhuri. Kwa upande mwingine, tatizo ni kwamba walionzisha huu Muungano hawakutiliana maanani kama kutakuja kutokea vitu kama hivi ambavyo inabidi pale zote mbili za Muungano zihusishwe kwa uwiano.

Kwa hiyo, suala la kuwepo kwa uwiano kwenye tume ya katiba ni moja ya shortcomings za Muungano wenyewe. Rais alikuwa hana cha kufanya hapo zaidi ya kufuata sheria. Tukitaka haya yasitokee tena basi tu-address the core problems underlying the Muungano.
 
Huyu ndio Mtei muasisi wa Chadema? Basi kazi ipo kumbe ni mdini?
 
Most of the members are from CCM... My take all members should declare their interests (Which political party are they affiliated with) so that we know what kind of people we do have in the committee... Some names are not so popular when it comes to political party affiliation but women like Esther Mkwizu, she belongs to TISS so at any material time she will be defending the interests of her political party!

Let them declare their interests! I know sometimes they may want to agree on some issues if they decide to vote... the trend is clear that the majority (Whom I believe to be those of CCM until proven otherwise) will win and at the end of the day we might end up with something that does not align with the wishes of most of the Tanzanians...

I remain to be corrected

Karikenye.....
 
hapa hakuna katiba mpya, wazanzibar kupitia maalim na justa walisema iletwe katiba ya zenji na ya tanganyika mezani then waamue mambo yepi ya kuunganisha. Tanganyika hatuna katiba, zanzibar wanayo. Hakuna nia ya dhati kupata katiba mpya kwa upande wa tanganyika
 
Kama huyu ndie Edwini mtei wa CDM basi ameonyesha true color ya chama chake!
alitaka JK aweke wtu kwa uwiano wa kidini? kama angefanya hivyo hao wajumbe si wangefanya kazi kwa mujibu ya dini zilivyowatuma na sio wananchi!
 
Tamko la CHADEMA ndio hilo

Mtei ni baba mkwe wa Freeman Mbowe sasa mnategemea nini?

Nitashangaa sana kama Tamko halijaandaliwa na mzee Mtei from his "farm" huko Migombani aka Moshi


 
Kwahiyo kama ni nchi kamili na ni ndogo huoni mantiki ya hoja yake?Ama muungano huu si wa watu?Hivi wazanzibari wanauchukulia huu kuwa ni muungano wa vitu gani?Maana wao wako juu, kuanzia kwenye rasilimali hadi watu, kiukweli naelekea kuichukia zanzibar na huu muungano kabisa.
 
Kwani katiba mpya ni ya Tanganyika ama ya Zanzibar?
Kuna ujinga mkubwa sana unaendelea na umekuwa ukiendelea kwa muda miongoni mwetu, huu ni wakati wa kuufutilia mbali once and for all!
 

Anachosema Mtei mimi nimekisema kuwa JK amekosea na amewapendelea wakristo wa Tanganyika

kati ya wajumbe 15 wanne ndio waislamu ina maana Tanganyika nchi ya wakristo hii? balaa
 
Kama katiba tunayoitafuta ni ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania, basi ni kweli tume ina waislam wengi, tena ukizingatia kuwa CUF na CCM ni dam dam, basi udini uko in the mix, trust me on this!
Inahitaji uelewa kuiona hii kitu.
 
Anachosema Mtei mimi nimekisema kuwa JK amekosea na amewapendelea wakristo wa Tanganyika

kati ya wajumbe 15 wanne ndio waislamu ina maana Tanganyika nchi ya wakristo hii? balaa
Hatutafuti katiba ya Tanganyika, rejao, sorry, rejea swali nililomwuliza nduguyo Ritz.
 
Mkuu Pasco nitakujibu kifupi sana,

Tume hii ni lazima i reflect tunachokitafuta, yani katiba ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania, Period.

Hatutafuti katiba ya Tanganyika ama Zanzibar.

Hivi haki ya Zanzibar ndo haki ya waislam?Usichanganye madwa hapa.
 

ritz, ki ukweli huwa natofautiana sana na wewe hasa pale unapoteteaga chama chako kwenye hoja ambazo ziko wazi..Ila kwa hili nakuunga mkono 100%.

Zanzibar ni nchi kamili, kama ni muungano basi unapaswa kuwa 50-50. Pia hata swala la udini lisiwe kigezo cha kuchagua watu kwenye hii tume, watu wachaguliwe sbb ya uwezo wao
 
Reactions: EMT
Hatuna mtu anayeitwa justa ZNZ, tunaye mwanaharakati jussa na mkombozo wa wananzibar.
 

We kweli huwajui wananzibar,
hujawahi kusikia viongozi wa serikali ya mapindizi ya zanzibar wakiunga mkono uvunjaji wa baa na uchomaji wa moto? uliza hadi sasa ni zaidi ya baa 50 zimeteketea na hakuna hata mtu mmoja aliye wekwa rumande, hawasemi kuwa ni uislam ila wanasema ni kinyume na mila na desturi za wazanzibar!
Sisi wazanzibar tunaamini kabisa wajumbe wa zanzibar lazima walinde UTAMADUNI WETU!
 
Vile vile ukubwa wa Tanganyika hauikoseshi sifa ya kuwa nchi kamili na wala sio sehemu ya Zanzibar by whatever means you are trying to kill Tanganyika and christianity you will never succeed it is illogical for over 40 millions Tanganyikans to be represented by 15 and not more than 2million Zanzibaris to be represented by the same number of 15 and at the same time in the region where christians are more than 70 percent of the whole population to be overidden by the minority in the population.
 


I don't want to believe that Edwin Mtei can stoop this low and demonstrate his long held phobia against moslems. I would understand if he had issues with the intellectual pedigree of those who have been appointed to serve in the Commission. If what he alleges is true, then it means 50% of the members appointed from the mainland Tanzania are christians. Mzee Mtei knows that 99% of the Zanzibaris are moslems. How then did he expect to find christians in the Zanzibar's half of the Commission?

I would be delighted if Mzee had come up with a statement on the number of moslem MPs that his party appointed after the 2010 elections. We know that the number of christian MPs by far outstripped that of the moslem colleagues and he found it to be in good taste? Hypocrisy of the hughest order.
 
Mie sijamnyooshea kidole mtu mwingine nimeandika nachokiamini.

Wewe hujaandika unachokiamini bali nafsini mwako pia ulikuwa na dukuduku, cha ajabu badala ya kulitoa baada ya kuona Mtei alichoandika ukamshambulia badala ya wewe kutoa wazo lako. Hii ndio tabia ya watanzania walio wengi wala sishangai. We have diverse and conflicting views which we must share and agree the way forward, sio kumshambulia mtu huku umeminya mawazo yako binafsi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…