Ni hatua njema kuwa umeonekana umuhimu wa uchunguzi kuhusiana na kadhia ya Law School of Tanzania.
Dk Mwakyembe kuongoza uchunguzi malalamiko mtihani Uanasheria
"Hata hivyo kunahitajika tume huru si tume tu kwa jina."
Ikumbukwe Dr. Mwakyembe amekuwepo sana UDSM Faculty of Law, ambao wao (eti) kwa namna ya pekee sana, wamo kwenye governing body ya LST.
"Kesi ya ngedere kula mahindi, njiani kufikishwa kwa hakimu nyani."
Zaidi pia kauli hizi za waziri Dr. Ndumbaro muunda tume zinaongeza mashaka:
1. "Kwamba alitaka kutoa matokeo jina kwa jina ya wanafunzi wenye zero, ati kuwa akazuiwa."
Je waziri anatambua kuwa wenye matokeo yao hawana somo au hata swali walilotaarifiwa kuwa walipata ngapi?
Je waziri anajua kimsingi matokeo ya wanafunzi hawa yamegubikwa na usiri mno, jambo ambalo pia linalalamikiwa?
Je waziri anafahamu yapo matukio ya wanafunzi kusoma "pass" leo na wakasoma "fail" kesho? Kwa hiyo kumbe waziri alikuwa na zero za lini ambazo ni authentic?
Je, waziri anatambua kuwa matokeo hayo ni kiini cha mzozo huu?
Au kwa waziri makaratasi ya TLS wanapotapa tapa kwa lengo la kujinasua kwake ni 'final and terminate?' Kumbe tume ni ya nini basi?
2. "Kwamba waziri anasema LST wamekuwa wakifaulu kwa wastani wa 81%?'
Haya ni baadhi ya matokeo ya cohort zilizopita. Cohort moja haipungui wanafunzi 500.
Cohort 28 pass 169 (less than 30%)
Cohort 29 pass 54 (less than 10%)
Cohort 30 pass 133 (less than 26%)
Cohort 31 pass 28 (less than 5%)
Au ni kuwa waziri analenga kulifanyia siasa suala hili? Kwani average 81% pass anayosema ni kwa cohorts zipi?
3. Tume ya Dr. Mwakyembe haina walalamikaji au hata wawakilishi wa wanafunzi hao. LST ni mlalamikiwa. Je, hawezi kupenyeza rupia ili kujinasua na kadhia hii, kama itamsaidia?
"Waswahili wanasema penye udhia tupia rupia?"
4. LST Ina wafanyakazi takribani 51. Walimu 97 anawatoa wapi Dr. Ndumbaro? Walimu hawa wanafanya kazi zipi ikizingatiwa kwa wakati mmoja huwepo cohort 1 tu shuleni?
Kama ni nia ya kutafuta kiini cha matatizo na ufumbuzi wake wa wa kudumu, ilihitajika tume huru siyo hii ya Ndumbaro au Mwakyembe.
Pungufu ya hapo ni vyema wanafunzi (wanaolalamika) wakawa na uwakilishi kwenye tume hiyo, vinginevyo ya Jecha yanaonekana yale...eee! Yanajongea.
Dk Mwakyembe kuongoza uchunguzi malalamiko mtihani Uanasheria
"Hata hivyo kunahitajika tume huru si tume tu kwa jina."
Ikumbukwe Dr. Mwakyembe amekuwepo sana UDSM Faculty of Law, ambao wao (eti) kwa namna ya pekee sana, wamo kwenye governing body ya LST.
"Kesi ya ngedere kula mahindi, njiani kufikishwa kwa hakimu nyani."
Zaidi pia kauli hizi za waziri Dr. Ndumbaro muunda tume zinaongeza mashaka:
1. "Kwamba alitaka kutoa matokeo jina kwa jina ya wanafunzi wenye zero, ati kuwa akazuiwa."
Je waziri anatambua kuwa wenye matokeo yao hawana somo au hata swali walilotaarifiwa kuwa walipata ngapi?
Je waziri anajua kimsingi matokeo ya wanafunzi hawa yamegubikwa na usiri mno, jambo ambalo pia linalalamikiwa?
Je waziri anafahamu yapo matukio ya wanafunzi kusoma "pass" leo na wakasoma "fail" kesho? Kwa hiyo kumbe waziri alikuwa na zero za lini ambazo ni authentic?
Je, waziri anatambua kuwa matokeo hayo ni kiini cha mzozo huu?
Au kwa waziri makaratasi ya TLS wanapotapa tapa kwa lengo la kujinasua kwake ni 'final and terminate?' Kumbe tume ni ya nini basi?
2. "Kwamba waziri anasema LST wamekuwa wakifaulu kwa wastani wa 81%?'
Haya ni baadhi ya matokeo ya cohort zilizopita. Cohort moja haipungui wanafunzi 500.
Cohort 28 pass 169 (less than 30%)
Cohort 29 pass 54 (less than 10%)
Cohort 30 pass 133 (less than 26%)
Cohort 31 pass 28 (less than 5%)
Au ni kuwa waziri analenga kulifanyia siasa suala hili? Kwani average 81% pass anayosema ni kwa cohorts zipi?
3. Tume ya Dr. Mwakyembe haina walalamikaji au hata wawakilishi wa wanafunzi hao. LST ni mlalamikiwa. Je, hawezi kupenyeza rupia ili kujinasua na kadhia hii, kama itamsaidia?
"Waswahili wanasema penye udhia tupia rupia?"
4. LST Ina wafanyakazi takribani 51. Walimu 97 anawatoa wapi Dr. Ndumbaro? Walimu hawa wanafanya kazi zipi ikizingatiwa kwa wakati mmoja huwepo cohort 1 tu shuleni?
Kama ni nia ya kutafuta kiini cha matatizo na ufumbuzi wake wa wa kudumu, ilihitajika tume huru siyo hii ya Ndumbaro au Mwakyembe.
Pungufu ya hapo ni vyema wanafunzi (wanaolalamika) wakawa na uwakilishi kwenye tume hiyo, vinginevyo ya Jecha yanaonekana yale...eee! Yanajongea.