- Thread starter
- #21
Una upeo finyu sana, ajabu nawe ndie mhitimu wa hiyo Law School.
Mtu akilalamikia watuhumiwa wa panya rodi kuuwawa mikononi mwa polisi bila kufikishwa mahakamani, mnamuita naye ni panyarodi.
Huyu anayeonesha tatizo la mambo yanavyokwenda pale Law School naye unamuita ana supp, kama vile alikuonesha matokeo yake, kwa upeo wako finyu, mtu akifaulu mahali hawezi kuona tatizo lolote la mahali husika, kwako sharti apasifie tu.
Elimu uliyoipata haijakukomboa kifikra, wewe bado ni mtumwa.
Kuwapa umuhimu watu ambao uwezo wao wa kuchakata mambo si zaidi ya u Yanga na u Simba ni kupoteza muda.