Songa Heri
JF-Expert Member
- Feb 6, 2016
- 1,723
- 1,872
Captain wa Ndege tena?
Siku nyingine ukipost kitu andika lugha inayoeleweka!WAKATI ZOEZI LAQ KUWATAFUTA WAHUSIKA WALIOSABABISHA MAUWAJI YA HALAIKI MV NYERERE
SERKL IMEUNDA TUME KUCHUNGUZA CHANZO.. USHAURI TU WATU HAWA WANA MAJIBU YOOTE YA MAUWAJI HAYA
1))CAPT WA MELI
HUYU N MSHTAKIWA WA KWANZA
1A)) KURUHUSU MELI KUBEBA UZITO MKUBWA KUPITA UWEZO WAKE
1B)KURHUSU KUBEBA WATU WANAOZIDI UWEZO WA MELI HUKU AKIJUA IDADI KAMILI INAYOTAKIWA
1C))KUSABABISHIA HASARA SERIKALI KUANZIA MAPATO YA ABIRIA WALIOOLIPA IKUMBUKWE WALIKUWA ZAIDI YA 265
NA WANAOTAKIWA 110 MNS HAKA KAMCHEZO AKAKUANZA LEO.... 265-110($($@) ILIOBAKIA ZIDISHA NA NAULI MMOJA HIZO HELA ZILIKUWA ZINAINGIA MIFUKONI MWA WATU KILA SIKU NA HIO N KWENDA ZIDISHA NA KURUDI.. ZIDISHA MARA 30 KWAMWEZI
1D))KOSA LA UDANGANYIFU.. KILA MELI KABLA YA KUONDOKA KUNA DOCS WANAJAZA ZILE DOCS MNS KIASI CHA ABIRIA KILICJOPO TOFAUTI...UZITO ULIOSAINIWA N UONGO MTUPU
-2((ENGINEER)
HUYU AHOJIWE TU KWA KUONA IDADI KUBWA YA ABIRIA NA KUSHINNDWA KUMSHAURI CAPT ASIONDOE NDEGE MPAKA WAKAGUE UPYA IDADI YA ABIRIA
3))----MSIMAMIZI WA KUKATA TKT--
HUYUU ANAHUSIKA ZAIDI BAADA YA CAPT
1)KULISABABISHIA SERKL HASARA KUBWA
YA MAPATO
2))MAUWAJI YA HALAIKI
3))UDANGANYIFU MKUBWA
MANAGER WA KITUO
HUYU LAZIMA ATUELEZE MAHESABU KAMILI YA TKT ZOTEE ZILIIFZOKATWA
AELEZE NANI ALIESAINI MAPATO YALIOKUSANYWA SIKUHIOO JE N IDADI SAWA YA WALIOKUWEPO KWENYE MELI
HUYUU LAZIMA AKAE PEMBENI KUPISHAA UCHUNGUZI......
HUYUU WAKIMBANAAA ATAELEZA UPUUZ8 WOOTE WANAOFANYA KILA SIKU HAPO KWENYE KIVUKO
MWISHO SERKL IANGALIE INAFANYAJE KUONDIOA UBADHIRIFU WA TKT... IONEKANAVYO KUNA VITABU VY SERIKALI NA VYA DILI TUTAFTE SOLN YA HII KTK MELI INAYOKUJA
......ITAENDELEAA BAADA YA UCHUNGUZI
Hii thread yako imenikumbusha Royco Mchuzi Mix
Utathibitishaje mahakamani kwamba mtu anatakiwa ajue idadi ya watu kwa kuona? Halafu ni meli, sio ndege. Au na ndege nayo imepata ajali?-2((ENGINEER)
HUYU AHOJIWE TU KWA KUONA IDADI KUBWA YA ABIRIA NA KUSHINNDWA KUMSHAURI CAPT ASIONDOE NDEGE MPAKA WAKAGUE UPYA IDADI YA ABIRIA
tushazoea NDEGE polenisanaCaptain wa Ndege tena?
Inaelekea we ni mtaalam wa SUMATRA ndio mana ukiambiwa gari ya tani 1 unadhani haiwezi kubeba tani 1na robo. Au basi la abiria 60 haliwezi kubeba zaidi ya hao! Hivyo ni viwango vilivyowekwa kwa usalama wa chombo na abiria. Nchi hii ndiyo mana mnajaza watoto 150 katika darasa mashuleni. Hivi ikija Ebola mataweza kunusuru maisha ya wananchi kweli?Law of Flotation states that when a body is partially or totally immersed it displaces the amount of fluid equals to its own weight ''Idadi ya abiria ilizidi sawa kwanini haikuzama iliko anza safari izame ilipofika ama karibia kutia Nanga Hata tukujenga nyingine abiria wapewe elimu hatua kwa hatua''
Wazo mujarabu kabisa ila sijui kama wanapita humu. Kama kweli mapato yalikuwa mara nne au tano na hakukuwa na mtu wa kuhoji basi waanze na serikali iliyokuwa inakubali hiyo pesa inayozidi bila kuhoji.Sijui hadidu za rejea kwa Tume ya Jeneral mstahafu Waistara katika uchunguzi wa chanzo cha kuzama kwa MV Nyerere hadi kupelekea kupotea kwa maisha ya Watanzania 224.
Mimi kama raia napenda kumshauri Kiongozi wa Tume Jenerali Waistara aanze na kuchunguza Mapato ya Kivuko hichi kwa muda wote kilipokuwa kinafanya kazi kabla ya ajali. Tunajua uwezo wa MV. Nyerere ni abiria 101, Tani 25 za Mizigo na magari 3 tu. Kama kweli hawa Wafanyakazi wa MV.Nyerere walikuwa wanabeba idadi ya Abiria na Mizigo inayotakiwa basi Mapato yake yatakuwa constant kwa safari hizo 2 kwa siku, kwa wiki, mwezi na mwaka.
Kama walikuw awanzidisha abiria kila siku kwa ujazo wa karibu mara 2 au 3 na mizigo kadhalika tunategemea Mapato yalikuwa ni makubwa sana na Serikali ilikuwa inapata mapato mazuri lakini kwa kuvunja sheria. Hapa ndipo tunaweza kujua kama Serikali ilikuwa ikijinufaisha kwa mapato haya ya ujanja ujanja.
Iwapo Makusanyo siku zote yalikuwa wastani kwa kiwango cha abiria 101 na mizigo tani 25 kwa siku kutwa mara 2 kwa miaka yote(2004-2018) basi TEMESA,SUMATRA na WATUMISHI WOTE MAZI GA NYANZA. Na iwapo Serikali ilikuwa inakusanya mapato makubwa kupindukia kutokana na kuzidisha Mizigo na Abiria basi SERIKALI IWAJIBIKE kwa maana ya Waziri mwenye dhamana na Timu yake. Waziri wa Ujenzi Mhe. KAMWELWE aache kuwatisha watu wanaomtaka ajiuzulu kuwa atawaweka ndani!!!.
Kujiuzulu ni sehemu ya Uongozi kuonesha kuwa umewajibika kwa madudu yaliyotokea chini ya Wizara unayoisimamia ingawa wewe mwenyewe huhusiki moja kwa moja.
Kamwele anatakiwa akapate ushauri nasaha kutoka kwa Rais Mstaafu wa Awamu ya 2 Mzee Alhaji Ali Hassani Mwinyi ambaye mwaka 1974 alijiuzulu kutokana na mauaji ya vikongwe yaliyofanywa na Jeshi la Polisi yeye akiwa Waziri wa Mambo ya Ndani....Lakini huyuhuyu Mzee Mwinyi mwaka 1985 akaja kuwa Rais wa Awamu 2...Simple!
Sijui hadidu za rejea kwa Tume ya Jeneral mstahafu Waistara katika uchunguzi wa chanzo cha kuzama kwa MV Nyerere hadi kupelekea kupotea kwa maisha ya Watanzania 224.
Mimi kama raia napenda kumshauri Kiongozi wa Tume Jenerali Waistara aanze na kuchunguza Mapato ya Kivuko hichi kwa muda wote kilipokuwa kinafanya kazi kabla ya ajali. Tunajua uwezo wa MV. Nyerere ni abiria 101, Tani 25 za Mizigo na magari 3 tu. Kama kweli hawa Wafanyakazi wa MV.Nyerere walikuwa wanabeba idadi ya Abiria na Mizigo inayotakiwa basi Mapato yake yatakuwa constant kwa safari hizo 2 kwa siku, kwa wiki, mwezi na mwaka.
Kama walikuw awanzidisha abiria kila siku kwa ujazo wa karibu mara 2 au 3 na mizigo kadhalika tunategemea Mapato yalikuwa ni makubwa sana na Serikali ilikuwa inapata mapato mazuri lakini kwa kuvunja sheria. Hapa ndipo tunaweza kujua kama Serikali ilikuwa ikijinufaisha kwa mapato haya ya ujanja ujanja.
Iwapo Makusanyo siku zote yalikuwa wastani kwa kiwango cha abiria 101 na mizigo tani 25 kwa siku kutwa mara 2 kwa miaka yote(2004-2018) basi TEMESA,SUMATRA na WATUMISHI WOTE MAZI GA NYANZA. Na iwapo Serikali ilikuwa inakusanya mapato makubwa kupindukia kutokana na kuzidisha Mizigo na Abiria basi SERIKALI IWAJIBIKE kwa maana ya Waziri mwenye dhamana na Timu yake. Waziri wa Ujenzi Mhe. KAMWELWE aache kuwatisha watu wanaomtaka ajiuzulu kuwa atawaweka ndani!!!.
Kujiuzulu ni sehemu ya Uongozi kuonesha kuwa umewajibika kwa madudu yaliyotokea chini ya Wizara unayoisimamia ingawa wewe mwenyewe huhusiki moja kwa moja.
Kamwele anatakiwa akapate ushauri nasaha kutoka kwa Rais Mstaafu wa Awamu ya 2 Mzee Alhaji Ali Hassani Mwinyi ambaye mwaka 1974 alijiuzulu kutokana na mauaji ya vikongwe yaliyofanywa na Jeshi la Polisi yeye akiwa Waziri wa Mambo ya Ndani....Lakini huyuhuyu Mzee Mwinyi mwaka 1985 akaja kuwa Rais wa Awamu 2...Simple!
Wananchi wakiona meli inakaribia kufika nchi kavu wanaanza kujifanya wana haraka, wakati njia nzima walikuwa wametulia sehemu moja.Law of Flotation states that when a body is partially or totally immersed it displaces the amount of fluid equals to its own weight ''Idadi ya abiria ilizidi sawa kwanini haikuzama iliko anza safari izame ilipofika ama karibia kutia Nanga Hata tukujenga nyingine abiria wapewe elimu hatua kwa hatua''
Amezungukwa na wanaccm hivyo kama kawaida hojazake hazitakubaliwa au zitageuzwa.Mhe. Joseph Mkundi(MB) Jimbo la Ukerewe-CHADEMA yupo kwenye Tume.
Naamini atasimama kidete kutetea hoja za Wana Ukerewe kwa kuzingatia maslahi mapana ya Wapiga Kura wake waliopoteza Maisha na walio Hai.
Soma na kuelewa nilicho andikaI
Inaelekea we ni mtaalam wa SUMATRA ndio mana ukiambiwa gari ya tani 1 unadhani haiwezi kubeba tani 1na robo. Au basi la abiria 60 haliwezi kubeba zaidi ya hao! Hivyo ni viwango vilivyowekwa kwa usalama wa chombo na abiria. Nchi hii ndiyo mana mnajaza watoto 150 katika darasa mashuleni. Hivi ikija Ebola mataweza kunusuru maisha ya wananchi kweli?
Elimu lazima ianzie kwa waendeshaji wa vyombo na 'wanasayansi' kama ww. Ili msijaze watu zaidi ya viwango vilivyowekwa, eti kwasababu meli haijazama!
Haraka kuliko upesiWananchi wakiona meli inakaribia kufika nchi kavu wanaanza kujifanya wana haraka, wakati njia nzima walikuwa wametulia sehemu moja.
Safari bado ni ndefu, mpaka elimu iwe imeeleweka kwa wananchi wote wanaotumia hivi vivuko.
Sijui hadidu za rejea kwa Tume ya Jeneral mstahafu Waistara katika uchunguzi wa chanzo cha kuzama kwa MV Nyerere hadi kupelekea kupotea kwa maisha ya Watanzania 224.
WAKATI ZOEZI LAQ KUWATAFUTA WAHUSIKA WALIOSABABISHA MAUWAJI YA HALAIKI MV NYERERE
SERKL IMEUNDA TUME KUCHUNGUZA CHANZO.. USHAURI TU WATU HAWA WANA MAJIBU YOOTE YA MAUWAJI HAYA
1))CAPT WA MELI
HUYU N MSHTAKIWA WA KWANZA
1A)) KURUHUSU MELI KUBEBA UZITO MKUBWA KUPITA UWEZO WAKE
1B)KURHUSU KUBEBA WATU WANAOZIDI UWEZO WA MELI HUKU AKIJUA IDADI KAMILI INAYOTAKIWA
1C))KUSABABISHIA HASARA SERIKALI KUANZIA MAPATO YA ABIRIA WALIOOLIPA IKUMBUKWE WALIKUWA ZAIDI YA 265
NA WANAOTAKIWA 110 MNS HAKA KAMCHEZO AKAKUANZA LEO.... 265-110($($@) ILIOBAKIA ZIDISHA NA NAULI MMOJA HIZO HELA ZILIKUWA ZINAINGIA MIFUKONI MWA WATU KILA SIKU NA HIO N KWENDA ZIDISHA NA KURUDI.. ZIDISHA MARA 30 KWAMWEZI
1D))KOSA LA UDANGANYIFU.. KILA MELI KABLA YA KUONDOKA KUNA DOCS WANAJAZA ZILE DOCS MNS KIASI CHA ABIRIA KILICJOPO TOFAUTI...UZITO ULIOSAINIWA N UONGO MTUPU
-2((ENGINEER)
HUYU AHOJIWE TU KWA KUONA IDADI KUBWA YA ABIRIA NA KUSHINNDWA KUMSHAURI CAPT ASIONDOE NDEGE MPAKA WAKAGUE UPYA IDADI YA ABIRIA
3))----MSIMAMIZI WA KUKATA TKT--
HUYUU ANAHUSIKA ZAIDI BAADA YA CAPT
1)KULISABABISHIA SERKL HASARA KUBWA
YA MAPATO
2))MAUWAJI YA HALAIKI
3))UDANGANYIFU MKUBWA
MANAGER WA KITUO
HUYU LAZIMA ATUELEZE MAHESABU KAMILI YA TKT ZOTEE ZILIIFZOKATWA
AELEZE NANI ALIESAINI MAPATO YALIOKUSANYWA SIKUHIOO JE N IDADI SAWA YA WALIOKUWEPO KWENYE MELI
HUYUU LAZIMA AKAE PEMBENI KUPISHAA UCHUNGUZI......
HUYUU WAKIMBANAAA ATAELEZA UPUUZ8 WOOTE WANAOFANYA KILA SIKU HAPO KWENYE KIVUKO
MWISHO SERKL IANGALIE INAFANYAJE KUONDIOA UBADHIRIFU WA TKT... IONEKANAVYO KUNA VITABU VY SERIKALI NA VYA DILI TUTAFTE SOLN YA HII KTK MELI INAYOKUJA
......ITAENDELEAA BAADA YA UCHUNGUZI
NAYULE MTABIRI WA MAAFA ATATULIZWAJE KANA SIO KUMKUMBUKA KWENYE TUME AJUE TYKOPAMOJANAMAJONZISasa hadi hapo tume ya nini ikiwa wewe umeandika hayo yote ukiwa peke yako kwa dakika labda kumi tu?
WAKATI ZOEZI LAQ KUWATAFUTA WAHUSIKA WALIOSABABISHA MAUWAJI YA HALAIKI MV NYERERE
SERKL IMEUNDA TUME KUCHUNGUZA CHANZO.. USHAURI TU WATU HAWA WANA MAJIBU YOOTE YA MAUWAJI HAYA
1))CAPT WA MELI
HUYU N MSHTAKIWA WA KWANZA
1A)) KURUHUSU MELI KUBEBA UZITO MKUBWA KUPITA UWEZO WAKE
1B)KURHUSU KUBEBA WATU WANAOZIDI UWEZO WA MELI HUKU AKIJUA IDADI KAMILI INAYOTAKIWA
1C))KUSABABISHIA HASARA SERIKALI KUANZIA MAPATO YA ABIRIA WALIOOLIPA IKUMBUKWE WALIKUWA ZAIDI YA 265
NA WANAOTAKIWA 110 MNS HAKA KAMCHEZO AKAKUANZA LEO.... 265-110($($@) ILIOBAKIA ZIDISHA NA NAULI MMOJA HIZO HELA ZILIKUWA ZINAINGIA MIFUKONI MWA WATU KILA SIKU NA HIO N KWENDA ZIDISHA NA KURUDI.. ZIDISHA MARA 30 KWAMWEZI
1D))KOSA LA UDANGANYIFU.. KILA MELI KABLA YA KUONDOKA KUNA DOCS WANAJAZA ZILE DOCS MNS KIASI CHA ABIRIA KILICJOPO TOFAUTI...UZITO ULIOSAINIWA N UONGO MTUPU
-2((ENGINEER)
HUYU AHOJIWE TU KWA KUONA IDADI KUBWA YA ABIRIA NA KUSHINNDWA KUMSHAURI CAPT ASIONDOE NDEGE MPAKA WAKAGUE UPYA IDADI YA ABIRIA
3))----MSIMAMIZI WA KUKATA TKT--
HUYUU ANAHUSIKA ZAIDI BAADA YA CAPT
1)KULISABABISHIA SERKL HASARA KUBWA
YA MAPATO
2))MAUWAJI YA HALAIKI
3))UDANGANYIFU MKUBWA
MANAGER WA KITUO
HUYU LAZIMA ATUELEZE MAHESABU KAMILI YA TKT ZOTEE ZILIIFZOKATWA
AELEZE NANI ALIESAINI MAPATO YALIOKUSANYWA SIKUHIOO JE N IDADI SAWA YA WALIOKUWEPO KWENYE MELI
HUYUU LAZIMA AKAE PEMBENI KUPISHAA UCHUNGUZI......
HUYUU WAKIMBANAAA ATAELEZA UPUUZ8 WOOTE WANAOFANYA KILA SIKU HAPO KWENYE KIVUKO
MWISHO SERKL IANGALIE INAFANYAJE KUONDIOA UBADHIRIFU WA TKT... IONEKANAVYO KUNA VITABU VY SERIKALI NA VYA DILI TUTAFTE SOLN YA HII KTK MELI INAYOKUJA
......ITAENDELEAA BAADA YA UCHUNGUZI