Tume ya Chande si Huru: Kwanini?

Tume ya Chande si Huru: Kwanini?

Kubwa la maadui mavi yanagonga chupi na kurudi ndani ushahidi wote unamuelemea yeye na mahenchmen wake.
 
Leo wamezuia waandishi kurusha mahojiano ya wahanga wa 29 Oct

Kwanini? Kila mhanga anam implicate aliyewateua!

Hàlafu utegemee ukweli kuandikwa na vibaraka Chande et al!

Shangazi you are absolutely right when the evidence becomes incriminating the sexed retired CJ-Judge Chande a pathetic CCM sycophant has unilaterally decided to block the press I tell you it’s a house of cards and nowhere can Samia Suluhu and her cronies hide it’s game over!
Hiyo TUME hakuna kitu ndiyo maana Askofu Mwamakula Mwanakondoo ameshinda Tumfuate aliwatolea nje hiyo TUME Ya KIHUNI.
 
Says who?
Umezungumza na acamillius Wambura kakwambia mitutu ya bunduki za waTanzania sasa zinarudishwa kwa wenyewe?

Unayo maana gani na hiyo "It's game over"?

Hiyo tume itaendelea na kazi yake iliyoundiwa; ya kusafisha uchafu; na akina Camillius wenyewe wasipokuwa makini ndio watakuwa Bangusilo, muunda tume atabaki safi kabisa kwenye ripoti yao
Hao akina Camillius ni vikaratasi tu vya chooni; vitawekwa vingine na maisha yataendelea kama kawaida; huku waTanzania wakikandamizwa vilevile.
Kuna mtu mmoja wa ofisi ya DPP ameniambia RPC watano wanaenda kushitakiwa " kibangusilo bangusilo".
 
Hivi kuna mtu mwenye akili timamu anategemea hii tume ya bi chura itakuja na report halisi ya mauaji ya 29oct?

Labda kwa kichaa tu!
 
Recommendation yao itakuwa yafanyike maridhiano. Hakuna kingine
Hii ni sawa na mtu anapakwa mafuta ya makalio halafu unategemee "hamna shida"
 
Kuna mtu mmoja wa ofisi ya DPP ameniambia RPC watano wanaenda kushitakiwa " kibangusilo bangusilo".
Haitanishangaza hata kidogo hilo lilkitokea; lakini pia hiyo inaweza kuwa ni mbinu tu ya kutokea.
Mashtaka ya kiuongonakweli, ambayo hata washtakiwa hayatawastua sana, kwani wanajuwa ni mpango maalum.
Nani ataamini mtu kama Jumanne Muliro kweli atafikishwa mahakamani na utawala huu huu?

Mshtakiwa mkuu hapa, katika mahakama yoyote ni Samia Suluhu Hassan na Genge lake, waliotimiza dhamira ya kuvuruga amani ya waTanzania kwa matendo yao, tokea mwanzo kabisa hadi mwisho wa mauaji.
 
Back
Top Bottom