Songambele
JF-Expert Member
- Nov 20, 2007
- 4,717
- 2,594
Sijaona citation ya vifungu hapo while mbowe aliainisha vifungu vilivyokiukwa.
Pombe amejaliwa vilaza wengi sana kwenye serikali yake.
Mbowe amekalilishwa kasa na Lissu, bahati mbaya Lissu katika namba hanaga mchango kabisa kamtia shimoni boss wake watu wanamuona anavyombwela mbwela tu.