menny terry
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 509
- 667
Aliwahi pata sema bwana mmoja kuwa kama joka limeingia ndani basi liuwage kwanza ndo uanze chunguza limeingiaje ni ujinga kuanza kuchunguza limeingiame wakati bado hujaliua.Tanzania hatuu haya majoka bali tuna yaundia tume kwanza.hizi ni baadhi.Tume ya mwakyembe,Tume ya Nungwi zanzibar,Tume ya jairo,Tume ya kufuatilia urejeshwaji fedha za EPA, Tume ya kuchagua vazi la taifa,Tume ya mchakato wa katiba.Kwa hali hii tumethubutu,temeweza,tunasonga mbele.