Soweto2006
Member
- May 8, 2021
- 45
- 208
Tumefatilia suala la Ole Sabaya kwa undani. Alichaguliwa na mamlaka za teuzi zilizochaguliwa na wananchi.
Tatizo lililopo Tanzania kwa sasa sio wakuu wa Mikoa au wilaya, tatizo ni kupata viongozi wanaostahili kuongoza nchi kwa mujibu wa uelewa wa Watanzania.
Manake ni kwamba kabla hatujachagua kiongozi tunakuwa tunamjua na kumfahamu, tumeishi naye sana.
Kitendo cha wananchi kuchagua viongozi halafu watu wachahce wanabadilisha ndiyo linatokea jambo la kuletewa mtu kama Sabaya.
Hapo Tanzania tunaamini wapinzani wa kweli ni Chadema, tunaishauri ipambane sana kwenye swala la tume huru ya uchaguzi, hayo mengine ya kupambana Sabaya atoke ni kupoteza muda.
Sabaya aliteuliwa na watu waliongizwa madarakani kinyume na taratibu, mfumo ubomolewe tupate viongozi halali wanaofaa kuongoza nchi, dawa ni tume huru ya uchaguzi.
Tatizo lililopo Tanzania kwa sasa sio wakuu wa Mikoa au wilaya, tatizo ni kupata viongozi wanaostahili kuongoza nchi kwa mujibu wa uelewa wa Watanzania.
Manake ni kwamba kabla hatujachagua kiongozi tunakuwa tunamjua na kumfahamu, tumeishi naye sana.
Kitendo cha wananchi kuchagua viongozi halafu watu wachahce wanabadilisha ndiyo linatokea jambo la kuletewa mtu kama Sabaya.
Hapo Tanzania tunaamini wapinzani wa kweli ni Chadema, tunaishauri ipambane sana kwenye swala la tume huru ya uchaguzi, hayo mengine ya kupambana Sabaya atoke ni kupoteza muda.
Sabaya aliteuliwa na watu waliongizwa madarakani kinyume na taratibu, mfumo ubomolewe tupate viongozi halali wanaofaa kuongoza nchi, dawa ni tume huru ya uchaguzi.