Tumbo lingekua kama injini...

Tumbo lingekua kama injini...

Raelish

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2013
Posts
489
Reaction score
162
kuna injini za gari,pikipk,tren n.k.. na kila injini hutumia aina moja ya mafuta, kama injini inatumia diesel basi haiwezi kutumia petrol.,hebu pata picha tumbo lingekuwa kama injini,yaani kama tumbo lako inabidi lipate vitumbua basi ni vitumbua tu mpaka unakufa, kama tumbo lako linakubali magimbi basi ni magimbi tu had kufa..au kama chipsi basi ni chipsi tuuuu.. we ungependa tumbo lako lako likubali chakula gani? na vp km ingekuwa hivyo ingekuwa poa au nouma..
 
Mmmh ingekuwa noumah...mie ningependa likubal wal maharage tuuu..
 
Mi ugal na mlenda tuuu mh ila bado ni nouma mana kuna cku lazma ntatamani chips asa cjui itakuwaje
 
Maji tuu maana yapo sehemu nyingi eti bahari ingekuwa ndo kituo cha kukaa everytime
 
Dah me lingekuwa linakubali oxygen(hewa) tuu.. Maana ndo inapatkana ulmwengu mzima..
 
Back
Top Bottom