Tumalize Utata: Eto'o Vs Drogba

Japokuwa nilimkubali sana Drogba, ukweli ni kwamba Eto’o yupo juu kidogo. Alitisha sana huko Inter Milan na Barcelona na uzuri zaidi akaja Chelsea na kuendelea kutupia goals kwenye mechi muhimu. Eto’o keperform vizuri kwenye ligi kuu tatu.
 
Siwez nikasema hujui mpira but lakin naweza nikasema umechelewa Sana kufatilia mpira huwez mlinganisha etoo na Drogba etoo was fire
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom