DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,979
- 11,816
Mane utamfananisha na Etoo?Mane anacheza golf
Etoo ni balaa,
Mane utamfananisha na Etoo?Mane anacheza golf
Simfananishi ila wako kwenye Class mojaMane utamfananisha na Etoo?
Etoo ni balaa,
Anazingua huyoLigi ngumu ni ipi? Kama ni EPL basi hata Eto'o amecheza Chelsea na Everton
Ok, sababu wote weusi hapo sawa ila kiuwezo kuna mane wa5 kwa Etoo 1Simfananishi ila wako kwenye Class moja
Samuel ni zaidi ya drogba kwa kila kituWewe ndio kocha, kikosi chako ushapanga bado nafasi moja tu ya straika, unae Samuel Eto'o na Didier Drogba yupi unampa nafasi?
Twende kazi...
View attachment 1498921
Anazingua huyo
Etoo kacheza Italy,Spain,England, kwa mafanikio
Drogba France,England,Turkey na MLS
Hapo nani kacheza ligi ngumu?
Simfananishi ila wako kwenye Class moja
Drogba ni mfalme pale darajani na Ettoo wapEto'o wa Inter alikuwa mpaka anakaba
Siyo kweli walikuwa na bahati tu,kila mechi wakishinda kagoli kamoja tuu.Ile Giriki ya 2004 ilikuwa shida, nilipata bahati ya kutazama karibia game zake zote kwenye ile EURO 2004.
Noma sana.
Drogba kirobaaaa,,,,,alikuwa mwambaaaaaEto'o was incredible
Siyo kweli walikuwa na bahati tu,kila mechi wakishinda kagoli kamoja tuu.
Umenikumbusha Ginokapolous na Angelos CharisteansIle Giriki ya 2004 ilikuwa shida, nilipata bahati ya kutazama karibia game zake zote kwenye ile EURO 2004.
Noma sana.
Bahati ya kila siku?Siyo kweli walikuwa na bahati tu,kila mechi wakishinda kagoli kamoja tuu.
Umenikumbusha Ginokapolous na Angelos Charisteans