Siwez nikasema hujui mpira but lakin naweza nikasema umechelewa Sana kufatilia mpira huwez mlinganisha etoo na Drogba etoo was fire
Mkuu ni kweli, huyu alinivutia na mtizamo wake kuhusu "changes"Naona na wewe ID name yako ndo wale wale jamaa.
Lazima jina limalize na s.
Lugha ya kuja na meli mkuuNimesoma zaidi ya mara 7 sijaelewa kilichoandikwa
Unapigwa cha mkwezi game overmiaka 16 iliopita...wazee wa goli 1
utafikiri walikuwa na ukuta wa franco baresi na paolo maldini
Huwezi kuelewa kiingereza cha IkuluNimesoma zaidi ya mara 7 sijaelewa kilichoandikwa