Tumalize Utata: Eto'o Vs Drogba

Wote wapo Sawa,japo kuwa walikuwanapishana vitu vichache
Mfano
Eto'o alikuwa anatumia skills zaidi kufunga magoli
D.drogba alikuwa anatumia nguvu zaidi kufunga magoli
 
Mada imeisha hii Samweli Eto's alisha chukua vikombe vyote vinavyotakiwa kuchukuliwa na mchezaji Bora ,kingine Eto's ni kipaji Didie mpaka afundishwe kukamata ........
 

Attachments

  • IMG_20200430_122617.jpg
    IMG_20200430_122617.jpg
    44.9 KB · Views: 1

Similar Discussions

Back
Top Bottom