Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 20,716
- 45,115
Wewe ndio kocha, kikosi chako ushapanga bado nafasi moja tu ya straika, unae Samuel Eto'o na Didier Drogba yupi unampa nafasi?
Twende kazi...
Twende kazi...
Kwani Eto'o hakucheza Uingereza Mkuu? Kwa faida yako, amecheza Chelsea 2013-2014; Everton 2014-2015; Inter Milan 2009-2011, Barcelona 2004-2009 na timu nyingi nyingineDrogba amecheza ligi ngumu tofauti na etoo kwaiyo kigezo cha magoli sio sahihi
Nimesoma zaidi ya mara 7 sijaelewa kilichoandikwaEto'o is was fire
Nimesoma zaidi ya mara 7 sijaelewa kilichoandikwa
For me I go with Drogba
Acha kumfananisha etoo na upumbavu
Drogba amecheza ligi ngumu tofauti na etoo kwaiyo kigezo cha magoli sio sahihi
Eto'o is was fire
Kwani Eto'o hakucheza Uingereza Mkuu? Kwa faida yako, amecheza Chelsea 2013-2014; Everton 2014-2015; Inter Milan 2009-2011, Barcelona 2004-2009 na timu nyingi nyingine
Hamwezi kumaliza huo utata.
Ila kwa tunaojua mpira tunajua ya kwamba Eto'o ni habari nyingine.
Samuel Etoo alikua Nyoko bahati mbaya siku hizi hatuna Striker Muafrika Mweusi anayetingisha ulaya zaidi ya walivyokua hao jamaa.
tunaweza kutumia mbinu za wagiriki zenye kuambatana na udambwi udambwi wa fitina na ushirikinaLeo hii wachezaji wa Africa unawatafuta kwa tochi, sasa kama Africa tumefika mara 2 tu robo fainali kipindi cha hao nguli, tusahau tena hiyo nafasi.