Tumalize Ubishi: Kati ya Mwanza na Arusha ni Jiji gani zuri, uchumi na mambo mengine

Mkuu,kwanza alichokiandika ni cha kijinga sana

Pamoja na ujinga wake huo bado unaweza kukuta hata Mwanza haijui na hajawahi kufika na hata kama alishawahi kufika inawezekana alikwenda kuishi Igogo mlimani huko halafu akadai anaijua Mwanza

Hili jambo ambalo mleta mada anataka tulijadili hajaliweka vizuri kwa maana ya kueleza anataka tuangalie vitu gani ambavyo ndio vitakuwa ni muongozo wa kile ambacho tutakijadili hapa

Kujadili mambo hovyo hovyo tu kunachosha sana!

Mkuu unajua Mwanza ni second largest city in Tanzania!? Sasa walilolifanya ni jiji la pili nafikiri walitumia vigezo sahihi... na wala haikutumika vigezo vya kina Preta kama jamaa alivyosema... Jamaa amesema kwa uchumi na mambo mengine... Kwa uchumi Mwanza ipo juu, kwa idadi ya watu bado Mwanza ipo juu... kwa vigezo vya wajanja hiyo sijui ni ya wapi!?
 
Nimeishi Mwanza pia Arachuga.

Mwanza kuna base kubwa ya market kwa sababu ya wingi wa wakazi. Pia ni pazuri kuishi. Wasukuma ni wakarimu. Zipo nafasi za kibiashara na uwezekano wa kufanikiwa upo. Vilevile mida ya jioni kutembelea lake Victoria na kuangalia rocks ni kumbukumbu nzuri kama nini.

Upande wa Arachuga ni hivi; kwanza ni mji wa kitalii na namna ya maisha hapa ni ya kipekee tofauti na Mwanza. Arusha inavutia sana kwa sababu iko more advanced kwa maana ya watu wake kuwa na exposure. Watu wa Nairobi wanaipenda Arusha kadhalika watu wengi wa Arusha wanaipenda Nairobi. Huwa nawaza Arusha ni dream ya watu wengi kufika. Sio tu wageni toka Ulaya bali pia hapa Tz.

Karibu Arusha and experience its uniqueness.
 
bado nasisitiza kibiashara Mwanza kuna pesa sana kwani napima mapato ya uwekezaji niliofanya katika maeneo haya naona mwanza turnout yake ni kubwa kuliko Arusha lakini kwa expousure Chuga pako more exposed kuliko Mwanza na wajanja Arusha ni wengi kuliko kwa watani zangu wa Mwanza.

Mkuu tatizo hujaweka vigezo tupime kwa kipi? Uwekezaji umetofautiana ukiwekeza kwenye utalii/burudani utaona Arusha kuzuri...Ukiwekeza kwenye Usafiri/Samaki utaona Mwanza kuzuri.
 
Nimeishi Mwanza pia Arachuga.

Mwanza kuna base kubwa ya market kwa sababu ya wingi wa wakazi. Pia ni pazuri kuishi. Wasukuma ni wakarimu. Zipo nafasi za kibiashara na uwezekano wa kufanikiwa upo. Vilevile mida ya jioni kutembelea lake Victoria na kuangalia rocks ni kumbukumbu nzuri kama nini.

Upande wa Arachuga ni hivi; kwanza ni mji wa kitalii na namna ya maisha hapa ni ya kipekee tofauti na Mwanza. Arusha inavutia sana kwa sababu iko more advanced kwa maana ya watu wake kuwa na exposure. Watu wa Nairobi wanaipenda Arusha kadhalika watu wengi wa Arusha wanaipenda Nairobi. Huwa nawaza Arusha ni dream ya watu wengi kufika. Sio tu wageni toka Ulaya bali pia hapa Tz.

Karibu Arusha and experience its uniqueness.

Ni ukweli mtupu..
 
Wakuu!
Naomba tuyaangalie haya majiji mawili kati ya Mwanza na Arusha wapi kuzuri? Na vigezo kama unavo unaweza kutupia hapa Binafsi naikubali Mwanza kuna Pesa kuliko Arusha , ninyi mnaonaje?

Arusha ni nambari wani!
1. uchumi mpana (Utalii wa picha na uwindaji; Kilimo cha kibiashara; Madini; viwanda; mikutano ya kimataifa; Mashirika mengi ya kimataifa)
2. Hali ya hewa mwanana; the Geneva/Davos of Africa
3. Lay out nzuri; sawia, tambararare (MZA vilima vingi vilivyojaa mabanda mabanda!!)
4. Mandhari swaafi (mlima Meru)
5. Gate way to the world ( MZA is landlocked)

Arusha is my City.
 
Mwanza ni jiji kubwa kuliko Arusha ......kuna barabara bora kuliko za Arusha .......lakini upande wa majengo ya kisasa, exposure ya wakazi,sehemu za starehe,hali ya hewa,mahoteli ya kisasa...Arusha inaizidi sana Mwanza .........mtu aliyezaliwa na kukulia Mwanza akienda Arusha atajiona yule level zingine lakini si kwa mkazi wa Arusha kushangaa jiji la Mwanza.

Hata hapa Dar es salaam mtu akijua umetokea Arusha unaonekana wa mjini kuliko ukisema umetoka Mwanza.........binafsi naipenda sana Mwanza kibiashara kutokana na population yake lakini Arusha imepewa vitu vingi natural na ina future nzuri kutokana kuwa na maeneo mengi makubwa (mashamba kwasasa) ambayo baadae yatalifanya kuwa jiji kubwa sana while Mwanza unaona wapi itaishia hasa milima na mawe ........
 
Nendeni Kiuchumi Ndo Mtajua Ipi Inaingiza Mapato Makubwa

Kiuchumi Mwanza ipo juu....lakini Arusha ilistahili kuongoza kama si siasa za kukomoana .....nchi nyingine zinategemea utalii ambao ni mdogo sana kuliko utalii wa Arusha achilia mbali madini yasiyopatikana dunia nzima ya Tanzanite ............
 
Back
Top Bottom