Kwani kigezo cha kuwa 'local channel' ni kipi?Ili ionekane kwenye local channel inabidi uingie mkataba na startimes na uwe unalipia kila mwezi au kwa mwaka,hii ni tofauti kama haupo kwenye local channels japo na huko Kuna charge. Wameshindwana kwenye kulipana. Kuendesha channel ya TV ni gharama mno.
TV zote za nje hutoa ofa bure Kwa local channel moja TU TV ya Taifa TBC. Ndio maana hata ukichomoa kadi ya Startines TBC inaonekana bila shida channel zingine zote lazima waingie mkataba wa malipo na StartinesKwani kigezo cha kuwa 'local channel' ni kipi?