Tuliweka ahadi ya kuoana, leo amenigeuka

Tuliweka ahadi ya kuoana, leo amenigeuka

Huo uandishi wa aina hiyo ni tatizo sana kwa watu wenye fikra makini
 
Tafuta pesa! Mchawi wa warembo ni pesa na uwe ndinga nzuri hata km umepanga watapigana vikumbo kukufukuzia wewe!
 
binafsi sijaona uhatari wa mwanamke hapo. angeweza kukusikilizia lakini mambo yako yangekaa sawa ungeweza kupiga chini pia, mtoto wa kiume ukihitaji kuoa unaoa, sio ishu kama mwanamke kuolewa.
ova
 
Mwanamke anataka vitendo zaidi sio maneno hujui asaivi tumechoka kusubiri, akitokea alietupia maneno ya kueleweka basi dira inabadilika
Exactly.. Afu hawa wenzetu hawaelewi hilo..!! They think that bado tupo kwny world ya 1930's
 
Sasa mkuu si ushukuru umeambiwa ungekuta picha Facebook au instagram mambo Mengine ni magumu kuyapokea ila Hakuna namna
 
Pole sana kinachotakiwa kaza moyo konde endelea na maisha yako
 
Ulichelewa wewe duniani hakuna kusubiriana
 
tafuta maisha, watakuja wenyewe mbona, halafu utachagua wa kuoa. ila kwa jinsi ulivyoandika ana haki ya kusepa bado hujakomaa.
 
Mambo vipi wadau,

Mwenzenu yamenifika shingoni!

Binti tumehaidiana nimalize chuo niweke ndani, leo ananipa habari kuna mchumb kaja kwao, ukicheck life yangu bado sana. Nachoka.

Nimeumia sana.
Siyo ubavu wako huyo..! Fuata dream zako mkeo yupo mahali ametulia kabisa omba kwa imani sana ataletwa tu..!
 
Back
Top Bottom