'mximamo'Daaaaaa nixhidaaa bas inaonekana nyie n wadhaifu sana hamna mximamo
Hapo kwenye "life bado sana" ndio wanawake huona kama ww ni chenga,,,,najua pengine ulikua na hope ya kuwa ukimaliza tuuu, unafanya leo application, kesho interview, keshokutwa kusaini mkataba, anza kazi, baada ya miez sita nunua gari, jenga nyumba etc.....na mbaya zaidi pengine nae ulimshirikisha assumptions zako ....sasa kumbe uhalisia kitaani ukija ni tofauti sana brother na akitokea jamaa mwenye 'kichere' kidogo tuuu, anamchukua kiulaini. But let her go na kuna binti atakupenda ukiwa hivohivo salange na mtashikana mikono mtatoka kimaisha, tust meMambo vipi wadau,
Mwenzenu yamenifika shingoni!
Binti tumehaidiana nimalize chuo niweke ndani, leo ananipa habari kuna mchumb kaja kwao, ukicheck life yangu bado sana. Nachoka.
Nimeumia sana.
Trust me brother,,,nmeielewa sana comment yakoBado una safari ndefu mpaka itokee ubaini kwa dhati tofauti ya Mwanamke halisi na Mwanamke mwenye mambo ya kike
Chekelea tu usaliti, siku yakikukuta ww ndo utalia kama kondooExactly.. Afu hawa wenzetu hawaelewi hilo..!! They think that bado tupo kwny world ya 1930's
Mie hoi...😛Maskini poleee...
Mwenye kisu kikali ndo mla nyama.
Haikua rizki yako utapata mwingine,usijali. Sawaeeeh
Mtu kama wewe hata ukiwa ndani ya ndoa ikitokea umetupiwa maneno ya kueleweka basi unaweza muacha mume wako..Mwanamke anataka vitendo zaidi sio maneno hujui asaivi tumechoka kusubiri, akitokea alietupia maneno ya kueleweka basi dira inabadilika
Ukimkejeli ndo.unamsaidia? Ulijuaje kwamba hatamlisha, au unajuaje kua hana ama.anayo shuhuli.ya kumuingizia kipato kujilisha yeye na mkewe huyo ambae waliahidiana hayo ambayo ameyasemaKuachwa umeumia, kwahiyo ukitaka naye aumie kwa kuwekwa ndani kama pangoni, utamlisha pumba?
Atafute ajipange periodUkimkejeli ndo.unamsaidia? Ulijuaje kwamba hatamlisha, au unajuaje kua hana ama.anayo shuhuli.ya kumuingizia kipato kujilisha yeye na mkewe huyo ambae waliahidiana hayo ambayo ameyasema
Mambo vipi wadau,
Mwenzenu yamenifika shingoni!
Binti tumehaidiana nimalize chuo niweke ndani, leo ananipa habari kuna mchumb kaja kwao, ukicheck life yangu bado sana. Nachoka.
Nimeumia sana.