kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 8,992
- 17,892
We can make distaster into an opportunity
Uko wapi ujasusi wa kiuchumi wa nchi yetu?
Hivi kweli Serikali ya awamu ya tano imeshindwa kuandaa mazingira ya kuifanya Tanzania iwe tajiri kupitia janga la Corona?
Toka mwezi wa pili ambapo janga la Corona lilikua janga la kimataifa,ingetakiwa serikali iwe imejipanga kuzindua na kujenga viwanda vya mask, na sanitiezer na vifaa vingine vingine tuuze duniani kote
Angalieni Ulaya na marekani kulivyo na uhaba mfano wa mask tu moyo unaumia sana kwamba tunakwama wapi?
Hebu fikirieni sasa hivi kuwepo kwa uhaba wa mask tungekua na viwanda kadhaa tuwe tunasupply huko ulaya na marekani na hapa Africa tungekua tumeingiza shillingi ngapi?Tungekua tumeingiza mabilioni kwa matrilioni ya pesa
Sijui tunakwama wapi maskini ya mungu,Ona hata wataalam wetu wa afya wameshindwa hata kuzifanyia utafiti hata dawa za asili kama mwarobaini,limao,mdalasini,tangawizi,manjano,kitunguu,ambazo zinatibu magonjwa mengi ya vifua,mapafu na mfumo wa hewa?
Tumekwama wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Uko wapi ujasusi wa kiuchumi wa nchi yetu?
Hivi kweli Serikali ya awamu ya tano imeshindwa kuandaa mazingira ya kuifanya Tanzania iwe tajiri kupitia janga la Corona?
Toka mwezi wa pili ambapo janga la Corona lilikua janga la kimataifa,ingetakiwa serikali iwe imejipanga kuzindua na kujenga viwanda vya mask, na sanitiezer na vifaa vingine vingine tuuze duniani kote
Angalieni Ulaya na marekani kulivyo na uhaba mfano wa mask tu moyo unaumia sana kwamba tunakwama wapi?
Hebu fikirieni sasa hivi kuwepo kwa uhaba wa mask tungekua na viwanda kadhaa tuwe tunasupply huko ulaya na marekani na hapa Africa tungekua tumeingiza shillingi ngapi?Tungekua tumeingiza mabilioni kwa matrilioni ya pesa
Sijui tunakwama wapi maskini ya mungu,Ona hata wataalam wetu wa afya wameshindwa hata kuzifanyia utafiti hata dawa za asili kama mwarobaini,limao,mdalasini,tangawizi,manjano,kitunguu,ambazo zinatibu magonjwa mengi ya vifua,mapafu na mfumo wa hewa?
Tumekwama wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app