Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
Viongozi wote wa CCM baada ya uchaguzi wa 2011 wamekuwa wakiimba udini lakini hawaelezei ni kwa nini mwaka 2005 JK alipopata ushindi wa kihistoria hakuna aliyekuwa akilalama na udini..........................Udini wa baada ya uchaguzi wa 2010 unaashiria JK hakushinda ila alishindwa na Dr. Slaa...............
masheikh walio upande wa JK hawataki kusikia lawama muumini wao akitupiwa jinsi anavyohamisha utajiri wa nchi na kuupeleka ng'ambo na kutuongezea maumivu ya ufukara..............................
Hakuna mahali masheikh wamewahi kukemea maovu JK na maswahiba wake wanayotufanzia........................................Hata hili la DOWANS ambalo ni wazi Masheikh wamepiga ganzi huku wao ndiyo wanaathirika mno kama raia wengineo wenye kipato kidogo.........................................
Kwa kuutumia udini kutugawa baada ya uchaguzi wa 2010 wengi ambao siyo waislamu wanaogopa kumkosoa JK wakiogopa kubandikwa jina la udini...........ya kuwa wanampinga Jk kwa sababu tu eti ni Muislamu..............na hivyo kufunika ukweli ndugu yetu huyu ni FISADI NAMBARI ONE..
mbinu hizi zimempa JK kiburi cha kuendelea kufuja na kupora taifa hili bila woga kwa sababu......once divided apart we fall........................
Ushauri wangu tuweke mbinu chafu hizi za JK pembeni na kulishinikiza Bunge limchunguze na kama likimtia hatiani limfute kazi.......na tuanze mara moja kazi ya kuijenga nchi yetu upya kwa manufaa ya vizazi vijavyo..........................
Wabunge JK hakuwachagua hata hao wa CCM ila ni sisi kwa hiyo tuwashinikize wamchunguze kwa maumivu makali aliyotusababishia kwa hili la DOWANS.......na mengineyo yatafuata.......................kama yale ya EPA, RADAR, MEREMETA, KIWIRA.......n.k
haiwezekani mtu mmoja na vikaragosi vyake vichache wakatuweka rehani sisi watu tulio wengi kwa msingi wa kutugawa na dini zetu ambazo tunaziabudu..........
Tusipofanya hivyo vizazi vijavyo vitatukumbuka kwa kukumbatia maovu hata kama hatukuwa wanufaikaji wa kwanza.........................
masheikh walio upande wa JK hawataki kusikia lawama muumini wao akitupiwa jinsi anavyohamisha utajiri wa nchi na kuupeleka ng'ambo na kutuongezea maumivu ya ufukara..............................
Hakuna mahali masheikh wamewahi kukemea maovu JK na maswahiba wake wanayotufanzia........................................Hata hili la DOWANS ambalo ni wazi Masheikh wamepiga ganzi huku wao ndiyo wanaathirika mno kama raia wengineo wenye kipato kidogo.........................................
Kwa kuutumia udini kutugawa baada ya uchaguzi wa 2010 wengi ambao siyo waislamu wanaogopa kumkosoa JK wakiogopa kubandikwa jina la udini...........ya kuwa wanampinga Jk kwa sababu tu eti ni Muislamu..............na hivyo kufunika ukweli ndugu yetu huyu ni FISADI NAMBARI ONE..
mbinu hizi zimempa JK kiburi cha kuendelea kufuja na kupora taifa hili bila woga kwa sababu......once divided apart we fall........................
Ushauri wangu tuweke mbinu chafu hizi za JK pembeni na kulishinikiza Bunge limchunguze na kama likimtia hatiani limfute kazi.......na tuanze mara moja kazi ya kuijenga nchi yetu upya kwa manufaa ya vizazi vijavyo..........................
Wabunge JK hakuwachagua hata hao wa CCM ila ni sisi kwa hiyo tuwashinikize wamchunguze kwa maumivu makali aliyotusababishia kwa hili la DOWANS.......na mengineyo yatafuata.......................kama yale ya EPA, RADAR, MEREMETA, KIWIRA.......n.k
haiwezekani mtu mmoja na vikaragosi vyake vichache wakatuweka rehani sisi watu tulio wengi kwa msingi wa kutugawa na dini zetu ambazo tunaziabudu..........
Tusipofanya hivyo vizazi vijavyo vitatukumbuka kwa kukumbatia maovu hata kama hatukuwa wanufaikaji wa kwanza.........................