Tulipofikia

Tulipofikia

cheerleaders.jpg
prancing.jpg
 
Yaan ina maana huko Sauzi wasuguagi wamepungua na wanaume wengi huko wamekuwa kama mlenda!!?

Ila all in all hizi sheria za dini hasa za kikristu ninaona kama haziwatendei haki sana wanawake maana kwa wingi wao pia hata wanaume tukisema wote tuoe kuna wanawake bado watabaki bila wanaume
 
Ni evolution process na ni nature huwezi pinga lazima species Fulani iondoke ije nyingine lzm kizazi chetu kitaisha kitakuja kizazi kingine kitatoweka nk,Mungu mwenyewe ndo yupo juu ya yote na mwenye uwezo wa kusimamia yote pia
 
Nakaomba hako ka 'bwana arusi' nikabebeshe mimba!... nipeni contacts please!..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom