wanaume wote hao hapo kwenye sherehe wanafanya nini wanawachekelea wanawake wakioana??
Wana Mikufu chini ya Kiuno haiwezi kusimama hata kwa kuinywesha Viagra
wanaume wote hao hapo kwenye sherehe wanafanya nini wanawachekelea wanawake wakioana??
kanatubania utamu wake tuHako kanako jifanya ka bwana harusi ni kazuri sijui kwanini wanafanya ujinga huo!
Mshana unajua jamii ya she males?..kimuonekano..anaweza kuonekana wa kike lkn ana " uume"..na ana function well tu as a normal man..hata na watoto wanaweza kupata,mmeliangalia hilo?tutalaumu kama ni she male?..
Google she males uone hiyo jamii..tunaweza kuwa wrong wote hapa.Waafrica!
Sasa mwanamke kwa mwanamke wanafanyaje ili wapate maximum satisfaction??!!
Mbuzi,kenge,mbwa,nyau wote ni wanyama na tunasema sisi binaadamu tuna akili kuliko hao.Lakini wanyama hawa hawakosei kwenye suala la jinsi na mahusiano.Hawaoani wa jinsia moja.Hawafanyi ngono kinyume na maumbile.Ifike mahali tuseme mbuzi wana akili kuliko sisi?
Mbuzi,kenge,mbwa,nyau wote ni wanyama na tunasema sisi binaadamu tuna akili kuliko hao.Lakini wanyama hawa hawakosei kwenye suala la jinsi na mahusiano.Hawaoani wa jinsia moja.Hawafanyi ngono kinyume na maumbile.Ifike mahali tuseme mbuzi wana akili kuliko sisi?

Walimwengu wanazidi kutupa mwanga wa Dunia inakoelekea.
Kipi walichokikosa hawa warembo,huyo actor-bwana harusi ,,jamani jamani Mtoto mzuri laki si Pesa.
Wapuuzi wenzao haki za binadamu nadhani hapo Ndipo mahala pake.
NB:
Hili ni Janga kubwa sana duniani. (Family destruction)

ha ha! hata sijielewagi hiyo ilikuja na ndege hivyo mengine yalianguka!
ukaokota yaliyoanguka mkuundo hivyo![]()
![]()
![]()
ukaokota yaliyoanguka mkuu