Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 359,955
- 828,654
Hawa vijana wamekamatwa wakibomoa mabango ya mgombea Urais wa CCM, wanaiba mbao wanaenda kuuza kama kuni. Baada ya kukamatwa majibu ya huyu mmoja yameniacha na mshangao. Yani ameshajikatia tamaa na maisha. Yupo tayari kwa lolote.
Je, Nini kimesababisha hali hii?
A). Malezi mabovu ya wazazi
B). Maadili mabaya ya jamii
C). Kukosa elimu
D). Matumizi ya mihadarati
E). Kukata tamaa kutokana na serikali kushindwa kutengeneza fursa za uchumi kwa vijana
F). Amekua motivated na ufisadi mkubwa serikalini (kama ule wa Rost-tamu-za-Aziz).
Credit: Malisa GJ
www.facebook.com
Je, Nini kimesababisha hali hii?
A). Malezi mabovu ya wazazi
B). Maadili mabaya ya jamii
C). Kukosa elimu
D). Matumizi ya mihadarati
E). Kukata tamaa kutokana na serikali kushindwa kutengeneza fursa za uchumi kwa vijana
F). Amekua motivated na ufisadi mkubwa serikalini (kama ule wa Rost-tamu-za-Aziz).
Credit: Malisa GJ
272K views · 9K reactions | Hawa vijana wamekamatwa wakibomoa mabango ya mgombea Urais wa CCM, wanaiba mbao wanaenda kuuza kama kuni. Baada ya kukamatwa majibu ya huyu mmoja yameniacha na mshangao. Yani ameshajikatia tamaa na maisha. Yupo tayari kwa
Hawa vijana wamekamatwa wakibomoa mabango ya mgombea Urais wa CCM, wanaiba mbao wanaenda kuuza kama kuni. Baada ya kukamatwa majibu ya huyu mmoja yameniacha na mshangao. Yani ameshajikatia tamaa na...