Tulipika kwa maji ya Mafuriko baada ya kushinda na kukesha barabarani

Tulipika kwa maji ya Mafuriko baada ya kushinda na kukesha barabarani

888I

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
445
Reaction score
553
"Tulipika chakula kwa maji ya mafuriko" —Huu ni ushuhuda wa kusikitisha wa mmoja wa wasafiri waliokwama usiku kucha katika eneo la Korongo la Fisi, wilayani Simanjiro.

Wasafiri hao waliokuwa wakisafiri kutoka Arusha kuelekea Kiteto kwa basi la Simanjiro Express, walifika eneo hilo majira ya saa 2:30 usiku na kukuta barabara imefungwa kabisa na maji

"Kama mvua zitaendelea, eneo hili litaendelea kutesa watu na huenda tukapoteza maisha kama hatua zisipochukuliwa."
 
Back
Top Bottom