Tuliowai kupata Supplemental kwenye final exam za UE/IE tukutane hapa

Mkuu vilaza tena!!!!!.....
 
thread ya waliosoma mpk Chuo Kikuu.... bahati nzuri Mimi kule VETA hakunaga hayo makitu yenu!
 
Mkuu sijakuelewa hapo kwenye tamrini (cousrework ) Yaan Ulipata 34 out of 40 Halafu Ue ikawa na marks 100 Yaan maswali 5@20 sasa ukijumlisha Na zile 40 mbona marks zinazidi. MSAADA
Technical supplementary zipo mkuu
 

ungesoma course yeyote ya udsm au faculty of commerce mzumbe wewe. ungejua kama sap sio kitu cha kushangaza... walimu wote wanajua wanafundisha vichwa wa sekondari.. so pepa zinakazwa mwanzo mwisho
 
Mkuu sijakuelewa hapo kwenye tamrini (cousrework ) Yaan Ulipata 34 out of 40 Halafu Ue ikawa na marks 100 Yaan maswali 5@20 sasa ukijumlisha Na zile 40 mbona marks zinazidi. MSAADA
C.work ni 40 alafu UE ni 60 total ni 100.
Lakini marks amvazo utapata kwenye UE itazidishwa na 0.6.
Inamaana kama kuna maswali 5 UE na marks kwa kila swali ni 20, then marks utakazopata uta zidisha na 0.6.
Mfano ukapata 100 kwenye UE nilazima izidishwe na 0.6 ambayo jibu litakua 60, then una plus na C.work yako.
Hitimisho.
C.work 34
+
UE 86/100
Total 85.6

Usipo elewa ina bidi uombewe.
 
dhu! Mkuu rudi shule ukasome tena hesabu mpaka nimeona aibu, una aibisha jina la iyo Id yako
 
dhu! Mkuu rudi shule ukasome tena hesabu mpaka nimeona aibu, una aibisha jina la iyo Id yako
Nitarudi shule.
Inawezekana system ni tofauti.
Kwetu sisi.
C.work ni 40
UE ni 60
Total ni 100
Lakini UE maswali ni 5 yenye 20 marks kila moja, ina maana ukipata yote ni sawa na 100, lakini kiuhalisia sio 100, coz tayari nyuma una marks za c.work. so, kama umepata 100 kwenye UE nilazima izidishwe na 0.6 na jibu lita kua 60, then hiyo 60 ndio ina jumlishwa na c.work uliyopata.
Mfano C.work nimepata 34
UE nikipata 100 ita zidishwa na 0.6 ambayo ni sawa na 60, then hiyo 60 ina jumlishwa na 34 ya c.work hapo nitakua nimepata 94.
Hesabu tuachie sisi.
 
unasikitisha sana mkuu, unasoma chuo gani?
 
unasikitisha sana mkuu, unasoma chuo gani?
Elewa mkuu.
Kwani 100*0.6=?
Kwa msaada tu, jibu ni 60.
So, C.work yangu ni 34.
34+60=94
Hiyo ni system yetu.
Na UE maswali haya pungui wala hayazidi 5 na 1@20 marks. (Ni mfumo wa chuoni kwetu).
Hata ukipata 70 out of 100, hiyo 70 itazidishwa na 0.6 na jibu lake ndio lina jumlishwa na C.work yako.
So, nimekosea wapi, nisaidie basi.
 
Apo ulipo weka 0.6 fanya iwe 0.14 hadi 0.2 alafu jumlisha 34 ya c.work, kwenye mtihani nilikua najua swali la jumla 20% mengine nilikua sijui pia sijui kama nilipata lote
a: 0.14*100=14
14+34=48

b: 0.2*100=20
20+34=54
Ila mkuu, mi nadhani system itakuwa tofauti.
Kama nilivyosema mwanzo, C.work ni 40 alafu UE ni 60.
Then UE mswali huwa ni 5 tu 1@20 marks.
Ina maana mtihani wa UE uta onyesha 100 marks but zinazotakiwa ni 60 marks only, then una plus na c.work yako. So, kama umepata zote 100 marks kwenye UE, na only 60 marks zinahitajika, ndio maana nazidisha kwa 0.6 *100 ili niipate hiyo 60 inayo hitajika.
Na hata kama umepata 70 out 100 bado tita zidisha kwa 0.6 ili tupate marks halisi ambazo zita jumlishwa na C.work yako.
KAMA BADO SIELEWEKI TUVUMILIANE, SI UNAJUA WAZEE WA KUMEZA, CHENGA KIDOGO CHALI.
KILA LA KHERI MKUU.
 
Niliwahi kuwa na supp 2 na special 6 jumla 8 na zikachomoka vizuri..


Mjini njoo na akili zako..
 
nadhani haujamwelewa anachomaanisha.

yaani mtihani wa UE una marks 100. maswali 5@20 marks.

yeye alikuwa anajua moja tu la marks 20.

tukisema alipata hilo tu lote ana 20

20 x 0.6 = 12

jumlisha na CW 34

34+12= 46

na hapo inawezekana hilo swali la marks 20 hakupata lote
Ultimate au nakosea
 
ni sawa mkuu swali la maandishi kupata lote sio rahisi bora hesabu unaweza kupata lote
 

Kimoko hajambo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…