Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 8,811
- 12,082
🤣🤣kwahiyo ulikua unaimba kwa sauti kubwa na bidii sana ee ofsa Light saber 🤣Bendera ya taifa Ina rangi kuu nne..
Kijani njano buluu ,
Nyeusi ni waafrika ..
Tlaatlaah
Tuna Imani na kikwete
Oya oya oya..
Kikwete kweli kweli ...
Kweli kweli kweli kweli kikwete
Na sijapata kazi usalama wa taifa ...
kwahiyo afisa wa tiss ameachwa kitaa anazurura tu