Pyepyepye
JF-Expert Member
- Jan 6, 2017
- 1,940
- 3,825
Halafu hapo katikati ya kijiji na kijiji unakutana na pori refu ajabu.We jamaaa unajidanganya sana,kijijini pasikie tu,Kuna sehemu Gombs to posta ni Kijiji kimoja
Halafu hapo katikati ya kijiji na kijiji unakutana na pori refu ajabu.We jamaaa unajidanganya sana,kijijini pasikie tu,Kuna sehemu Gombs to posta ni Kijiji kimoja
Nane nane mpaka Forest unakata tu Kichangani unatumia masaa machache tuUmbali wa kutoka nane nane (morogoro) to Forest hill nadhani wa kazi wa morogoro mnaelewa hiyo distance,nilitembea by ngoko moja moja mpk nafika home.
Sasa google map ya nini???safi sana mkuu, unaweza kutupia na screenshot ya googlemap, si unajua wengine england tumeijulia Kwenye mabanda umiza tukiangalia EPL
Lowassa alinitembeza Jangwani to Ubungo Kibo,halafu siku nyingine Mbezi mwisho to Ubungo Kibo,Ila kutoka Uwanja wa Taifa mpaka Ubungo ni mara nyingi tu
hapo hata kwa kichurachura mtu anafikaSinza mori to sinza Africasana
Kipindi nipo mdogo nilitembezwa umbali mrefu,tulikuwa Mimi baba mdogo na kaka yangu,kila mara wenzangu walikuwa wananiacha.Sasa ikafika mida fulani nikawa nimechoka plus njaa kuuma.Nikaachwa nikakaa chini kupumzika nikaanza kulala.Bro na baba mdogo wakaona sionekani nyuma wakarudi kunifuata.Wakanikuta nimelala.Walikasirika mno tukaendelea na safari.Mpaka tunafika home nipo home.Ila nikikumbuka naona walinionea sana maana hata Sina kumbukumbu kama nilikuwa na umri gani maana muda huo nilikuwa chekechekea.Enzi zile kuingia la kwanza lazima mkono upitishe kichwani ushike sikio upande wa piliHalafu hapo katikati ya kijiji na kijiji unakutana na pori refu ajabu.
niliomba maelezo ya nyongeza yasiyo ya lazima mkuu. ndio maana sijalalamika kutojibiwaSasa google map ya nini???
Umeuliza swali na umejibiwa accordingly....
labda alipitia msamvu kujichoshaNane nane mpaka Forest unakata tu Kichangani unatumia masaa machache tu
Nyerere alitembea toka Butiama mpaka Mwanza. Mimi nilitembea toka Bulombola mpaka Kigoma nikijongo majeshi nikaishia kukamatwa na kuswekwa lupango ya jeshi kwa mwezi. That was during Kagera war hata nyoka karibu atung'ate na mtoro mwenzangu.umbali uliotembea kwa miguu ukajiwekea rekodi yako. Inaweza kuwa 1KM.
Kuna jamaa walitembeakutoka urusi hadi India kwa Miguu km zaidi ya 2000. Ipo movie yao based on true story
Allah atakubariki mpambanaji. Liwale naikumbuka shule ya msingi tu tulikuwa tunasoma kwenye jiografia.Nilitoka Ifakara mpk Liwale,safar ya siku 11 kwa mguu,kupitia Mahenge,Ruaha,Mwaya,Mbuga,ketaketa,nna tukazama maporin mpk liwale,.. Yote tunatafuta utajiri ambao tulishimdwa masharti.. Ha ha ha Muacheni Mungu akupe unachostahili kwa wakat wako,kuliko kutafuta kwa shortcut...
Kesho tutembeee wote
Hongera km 6 hizo
safi sana.Nyerere alitembea toka Butiama mpaka Mwanza. Mimi nilitembea toka Bulombola mpaka Kigoma nikijongo majeshi nikaishia kukamatwa na kuswekwa lupango ya jeshi kwa mwezi. That was during Kagera war hata nyoka karibu atung'ate na mtoro mwenzangu.
100km one day?Zinafikika mkuu, kuna mwamba alitembea toka Musoma to Magu
jamaa nimemfikilia nikashindwa kupata jibu alikuwa anamchongo gani. atakuwa yuko vizuri sana sio kujizungusha hukoEeee! Ndugu! Wewe ni katili sana.
Kwa siku kadhaa unatembea.Inategemea ye anasema alitembea siku ngapisafi sana.
story za wajeshi huwa naziamini maana ni kama miezi miwili nimepita bgmoyo nikakuta kuna training ya wajeda wanatokea mjini wananyooka na rami wanavuka mkwajuni wanapotelea porini. Suala sio umbali ila wamebeba Bunduki kubwakubwa na wakinadada wapo. Ingawa nilishangaa maana wengine walikuwa wanasmartphone waanatembea wanachat.
salute mkuu.
ila hii ya nyerere huwa siiamini, technology enzi zake nadhani iliruhusu kutupiga fix. butihama mwanza mkuu sio mchezo kabisa nadhani ni zaidi ya 200KM
Hapo walikuonea hakika.Kipindi nipo mdogo nilitembezwa umbali mrefu,tulikuwa Mimi baba mdogo na kaka yangu,kila mara wenzangu walikuwa wananiacha.Sasa ikafika mida fulani nikawa nimechoka plus njaa kuuma.Nikaachwa nikakaa chini kupumzika nikaanza kulala.Bro na baba mdogo wakaona sionekani nyuma wakarudi kunifuata.Wakanikuta nimelala.Walikasirika mno tukaendelea na safari.Mpaka tunafika home nipo home.Ila nikikumbuka naona walinionea sana maana hata Sina kumbukumbu kama nilikuwa na umri gani maana muda huo nilikuwa chekechekea.Enzi zile kuingia la kwanza lazima mkono upitishe kichwani ushike sikio upande wa pili
Nyerere alitembea. Wanzie walifika na malengelenge wengine hawakumaliza. Yakwangu ilikuwa kukimbia jeshi miaka ile ya 80 jeshi likikuwa hatari. Imagine huna pesa, hujui unaenda wapi lakini unatoroka ili mradi kukimbia mateso ya jeshi. Tuliishia mikononi ya maafande. Jela ya jeshi mwezi we acha tu!!!safi sana.
story za wajeshi huwa naziamini maana ni kama miezi miwili nimepita bgmoyo nikakuta kuna training ya wajeda wanatokea mjini wananyooka na rami wanavuka mkwajuni wanapotelea porini. Suala sio umbali ila wamebeba Bunduki kubwakubwa na wakinadada wapo. Ingawa nilishangaa maana wengine walikuwa wanasmartphone waanatembea wanachat.
salute mkuu.
ila hii ya nyerere huwa siiamini, technology enzi zake nadhani iliruhusu kutupiga fix. butihama mwanza mkuu sio mchezo kabisa nadhani ni zaidi ya 200KM