Malyenge
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 6,658
- 3,646
- Thread starter
- #401
Hivi wewe unachuki na mimi kwa kisa kipi? Au wewe ndio uliyenitapeli? Hasira za kuitundika picha yako mtandaoni unaumia hivyo umepatia pa kunitukana matusi? Nani alikutuma unitapeli sasa kama unaumia picha yako kuitangaza kwamba wewe ni tapeli?Hujawahi kuwa na akili wewe Mzee,ndio maana nimefuatilia Nyuzi zako mara ulalamike UMETAPELIWA Pesa basi ni shida tu,na kwa akili zako za kununua Vyeti Online ni lazima uishie kutapeliwa tu maana kichwani hauna kitu,na kwa sasa huwezi ku-switch employer wakati UNASTAAFU keshokutwa tu,sasa uende wapi wewe Mzee tumia akili za kichwani na si za makalioni kwako!!!kama ulishindwa kupanda Cheo enzi za ujana wako usitegemee leo upandishwe Cheo kwa kuleta Vyeti vya kimagumashi kama ulivyoleta na wakati huohuo unastaafu keshokutwa tu,jiheshimu Mzee acha utoto wa kuchafua Taasisi za Serikali JF
Consequences za kutapeli watu ni maumivu. Au hukulijua hilo?