Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 14,840
- 31,591
Nimeipenda last sentence...yes God First...Yah switch employers
Si ur not happy
Una vyeti na uzoefu unaogopa nini.?plus umesoma nje😅
Hadi leo people switch employers connection zako tu
Mi napata tabu kumtetea sanaa mana sijui utendaji na uzoefu wake vs hio nafasi anayotaka
And smtimes wakati wa Mungu haujafika
Labda kuna kizuri zaidi kitamtoke mbeleni na atashukuru
Switch employers, sio kwa climate ya hapo Tanzania..kazi hakuna, ukiipata ndio hivyo Boss ana mawenge, na sometimes Experiences shapes us...Uki explore, Majibu ni -Ve kila ukienda wanakuona threat...uta switch employers? How...Msaidie in this situation...?
Uko sahihi hujui utendaji wake, hivyo usi mscredit kwa vile amesoma nje,