Tuliosoma nje ya nchi tunanyanyapaliwa sana

Atakuwa amesoma chuo cha paula kajala.

Kumbe kuna vyeti vya kudown load upo zako geto unaweka MB na kutuma pesa tu mwisho wa siku unatumiwa cheti geto
 
Sio kweli
Soma kitu sahihi upeleke ujuzi sehemu inayohitajika kulingana na eneo husika

Kama una suluhu kweli basi iendane na hali halisi ya TZ..

My take was
Kusoma nje is not an automatic ticket to anything...soma upepo
Mpaka hapa hujagusia usawa unaotakiwa. Hoja hapa ni unyanyapaa. Usipopandishwa cheo muda mrefu ukiuliza huna sifa. Ni sifa gani hizo?
 
Pole ndio utaratibu wa maisha yenu .
Waloge wenzako wanawaloga maisha ni uchawi lasivyoo utasugua guu sana mpaka ufe hujawahi kuwa manager of sales licha uwe uongozi huo .
Wenzako wanajiloga mpaka wananuka vumbi la viberiti.
Whaaat?
 
tumia akili za kichwani na si za makalioni,huyu Malyenge ni Mtumishi wa TRA muda mrefu,yupo kazini kila siku na hajawahi kwenda nje kwa Training yoyote aliyopelekwa na Ofisi,iweje leo aibuke na Cheti tu aseme amesoma nje ya Nchi wakati kila siku yupo kazini??ndio maana TCU wakataka Ushahidi kama alienda kusoma nje akakosa amebaki kulialia,yaani alete degree za kununua online huko halafu Ofisi na TCU wazikubali tu kirahisirahisi!!!halafu usijifanye unajua kuandika kingereza wakati unaandika broken tu makalio yako
Wewe haupo TRA, acha kuwaingiza chaka madogo hapa. Acha huu utapeli kilaza wewe. We tuambie hapa uko Tax Region gani?
 
Mtoa Mada Malyenge,huko nje ya Nchi ulikosoma ni wapi, lini na Course gani ulisoma!!na hakuna urasimu wowote ku-verify Vyeti TCU acha kudanganya watu hapa,TCU wanachotaka ni kuangalia kama Chuo ulichosoma kinatambuliwa na Serikali husika au ni Chuo cha mfukoni,mimi mwenyewe nime-verify Vyeti vyangu bila shida mwezi uliopita tu na TCU wamenipa verification letter!!hapa TRA hatuhitaji Vyeti vya kimagumashi kama vyako,na kama ulishindwa kusoma ukiwa kijana acha uhuni kutafuta vi-course vya kimagumashi kwenye Vyuo vya uchochoroni nje ya Nchi ukitegemea tukupandishe Cheo au kukuongezea Mshahara,fuata taratibu acha janjajanja na uhuni!!!na kwa umri wako inatakiwa uwe umestaafu Utumishi wa Umma maana ninakufahamu vizuri sana,acha kuichafua TRA kwamba inakunyanyapaa wakati huna sifa ya kupandishwa Cheo kutokana na Chuo cha kichochoroni ulicholeta Cheti chake ukidai umesoma
Ukibisha naweka majina yako kamili,Cheo chako hapa TRA na muda uliokaa na hiko Cheo kutokana na Elimu finyu,Cheti ulicholeta ukidai umesoma nje ya nchi na umri wako,staafu kwa amani acha kuichafua TRA na Idara za Serikali kwa ujumla
Aiseeee...
 
Wanakosa talents nyingi sana kukataa kuwapatia shavu watu waliosoma nje sababu wao wanakuja na exposure ya tofauti ya kitaaluma lakini pia wanakuja na maono tofauti.

Its better kuwa encourage waje kwa wingi.
 
Kuna miaka ukipata div. 4 uganda unaingia advance wakati huku unaonekana kilaza. Kuna jamaa yangu akipata div. 4 akapelekwa kuendelea na shule uganda alivyomaliza akawnde chuo Maresia sasa hivi analima matikitiki shamba la babake bagamoyo kila taasisi na serkalini akienda hola wanaishia kuchukua wabongo tu anaonekana kilaza.

Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app
 
tumia akili za kichwani na si za makalioni,huyu Malyenge ni Mtumishi wa TRA muda mrefu,yupo kazini kila siku na hajawahi kwenda nje kwa Training yoyote aliyopelekwa na Ofisi,iweje leo aibuke na Cheti tu aseme amesoma nje ya Nchi wakati kila siku yupo kazini??ndio maana TCU wakataka Ushahidi kama alienda kusoma nje akakosa amebaki kulialia,yaani alete degree za kununua online huko halafu Ofisi na TCU wazikubali tu kirahisirahisi!!!halafu usijifanye unajua kuandika kingereza wakati unaandika broken tu makalio yako

We zoba address the issues brought forth, ama la, acha kuijaza server ya watu with your useless babble.
Several times mtoa mada amesha kanusha kuwa humjui, na yeye siye huyo unaye mdhania; Instead of being an adult, move on, ujikite kutoa mawazo on the topic at hand upo unang'ang'ana na mwanaume mwenzio. Sasa kama hii sio kutumia makalio kufikiri ni nini? #emptyhead #whenyoutrytosoundimportantbutfailmiserably:rolleyes:
 
Kuna miaka ukipata div. 4 uganda unaingia advance wakati huku unaonekana kilaza. Kuna jamaa yangu akipata div. 4 akapelekwa kuendelea na shule uganda alivyomaliza akawnde chuo Maresia sasa hivi analima matikitiki shamba la babake bagamoyo kila taasisi na serkalini akienda hola wanaishia kuchukua wabongo tu anaonekana kilaza.

Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app
Ningekuwa nina division 4 ningekaa kimya
 
tumia akili za kichwani na si za makalioni,huyu Malyenge ni Mtumishi wa TRA muda mrefu,yupo kazini kila siku na hajawahi kwenda nje kwa Training yoyote aliyopelekwa na Ofisi,iweje leo aibuke na Cheti tu aseme amesoma nje ya Nchi wakati kila siku yupo kazini??ndio maana TCU wakataka Ushahidi kama alienda kusoma nje akakosa amebaki kulialia,yaani alete degree za kununua online huko halafu Ofisi na TCU wazikubali tu kirahisirahisi!!!halafu usijifanye unajua kuandika kingereza wakati unaandika broken tu makalio yako
We mjinga ACH kutosha watu shwain weww
 
We zoba address the issues brought forth, ama la, acha kuijaza server ya watu with your useless babble.
Several times mtoa mada amesha kanusha kuwa humjui, na yeye siye huyo unaye mdhania; Instead of being an adult, move on, ujikite kutoa mawazo on the topic at hand upo unang'ang'ana na mwanaume mwenzio. Sasa kama hii sio kutumia makalio kufikiri ni nini? #emptyhead #whenyoutrytosoundimportantbutfailmiserably:rolleyes:
Huyo ni tapeli anajitanabaisha ni MTU WA TRA ili awadake graduates walioomba Ajira za trA.

Nimeshamshtukia
 
Mpaka hapa hujagusia usawa unaotakiwa. Hoja hapa ni unyanyapaa. Usipopandishwa cheo muda mrefu ukiuliza huna sifa. Ni sifa gani hizo?
Pengine kweli huna sifa haiwezekani watu ofc nzima wakuchukie eti hr na CEO wakuchukie kiss umesoma nnje na wakuchukie ili walinse maslai ya watanzani Happ nimeona kuna tatizo fln either una vyeti venye magumashi au huna tahaluma inayo takiwa pale kazi
 
Back
Top Bottom