kabila01
JF-Expert Member
- Apr 21, 2009
- 4,235
- 4,949
Kwa wale tuliopitia Lugalo sec Iringa Tunamkumbuka mwalimu mmoja anaitwa mwalimu Materu alikua mwalimu wa Kilimo. Watu walikua wakimtajia majina ya uongo walipokutwa na makosa mfano wengine walidiriki hadi kutaja majina ya wachezaji wa Yanga Full list na akaja kuisoma Assembel. kama unakumbuka mengi unaweza kuongeza kuchangia