mwisho wa kuomba uhamisho kutoka chuo kimoja kwenda kingine ilikuwa ni tarehe 18 Nov,2016 na hiyo ni kwa chuo kupeleka majina ya watu iliyowachagua na kukubali franfer zao TCU. Tarehe 30 Nov 2016 ni mwisho wa TCU kutuma majina ya wanafunzi kutoka vyuo vilivyo pokea transfer za wanafunzi kwenda HESLB kwa ajili ya HESLB ku re-allocate fedha zao za mkopo, hivyo kunauwezekano mkubwa kwa waliofanya transfer ya chuo kuanza kupata boam lao kuanzia mwezi Desemba 2016