Mwisho wa maisha haya ni upi? mbna tutachomwa moto siku ya mwsho.. Mke ulimuoa kwa mapenz yote mbele ya umat wa wa watu km mashaihid leo mchepuko unaona ndio wenye dhaman zaid ya yule ulienae ndan?!! ama kwel cjui tutafika wap
Lengo kuu la michepuko ni mke kufa na kuzikwa apate nafasi ya mke kwanza atakushauri ili umuone bora,AKIshindwa chokoza mke anaanza kuloga,eti mchepuko!!kwenye mchepuko kuna mchepuko kwani nae hataki kuolewa uwe hawara mpaka lini?kwanza wababa waendeleza michepuko hawaishi miaka mingi angalia phychology hufa mapema bp kila mda hofu inawajaa na inapelekea bp na magonjwa ya moyo,marriage is the only place where ur inside n out character observed n such cheated relationship is an imagine picture of someone, kaanae uyo mchepuko km utamuweza,fukuzwa kazi uone, watu mnafilisika mnajirudia kwa wake,ww muandika mada kaoe ujue dhamani ya mke maana unaonekana unasuasua hata ndoa huna
Sijui nimwoe nani maana nimeona mchepuko ananipenda zaidi kuliko baby
Bado sijao wangu,hata hivo nitaanza kufanya mpango wa kuacha wote maana baby nae chenga nyingi
Kumbe we tayari,heri kuzinguana kwenye nipo nipo kuliko kuzinguana kwenye ndoa
Hahaha ndio.bora mzinguane nje unajua unatupa kulee unavuta mwingine...km ni mkristu km mimi ukiingia umeingia..ndio maana inabidi uhakikishe mtu unayeingia nae mnaendana nae.. .. ndio mimi tyr kuna mjanja mmoja kavuta chombo ndanii mwaka huu...
Hehehe inaonekana kwenu kuna vifaa itabidi niwe karibu ndani nipate kifaa cha kuweka ndani
Hayo ndo mambo sasa,itabidi itabidi tuwe ndugu maana hamna namna nyingine sasa
Hahaha ila mchumba mzuri tafuta mwenyewe...ndio ananoga sio wa kuuunganishiwa...by the way wako wasichana walotulia na wako poa mpk utasema alikua wapi siku zote pray hard..utapata kitu chako pureeee..never touched by anyone😀
Bwaga wote nioe mie
Bwaga wote nioe mie
Never touched by anyone?
Kwenye haya mazingira utapata wa hivo?