Tanganyikana
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 1,160
- 364
Shetani ana nguvu sana,
What if na mkeo ulianza nae kama mchepuko? Anakua chaguo au bado bahati mbaya?
Duh umenikumbushia kitu.
SHORT AND CLEAR
True happiness is not getting what you LOVE,
It's enjoying what you HAVE
Siwezi sema yes,coz inaongeza kasi ya uasherati
Mungu hapendi
Shetani ana nguvu sana,
Sio kweli
Mungu hapend ile michepuko mikorofi dada... kuwa mpoleeee
Kidumu chama cha michepuko.
Dunia ya leo michepuko imehalalishwa.
Yalaaaaaaaaaaa
Blaki Womani,michepuko mingine ipo kwa ajili ya kupiga mizinga daily,haina huruma na familia yako.Hebu mpe talaka mkeo halafu uoe mchepuko ujionee Kama hayo unayosema yatakuwepo
I'm viol
Viol mkuu umekuwa adim mnooo...
Umenikoshaa mkuu kuhusu mchepuko, yani ile michepuko ambayo ni benefitable....
Mchepuko upo tayari kifanya cost sharing...
Mchepuko ambao ukiuambia upo hom na wife unakuelewaaa....usipige simu
Mchepuko ambao ukifulia unakutoa...
Mchepuko ambao unajari afya yenu unakukumbusha kutumia kinga..
Mchepuko ambao haukupi stress yani hata msipo wasiliana two days kwake ni okey....
Mchepuko ambao haukusumbui mara utanioa lini?
Mungu aibariki michepuko ya aina hiii...