Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,419
- 18,368
- Thread starter
- #21
Ukifanya chaguo baya lazima utaangukia kwenye mchepuko mtamu maana utakuwa umejifunza na kujua kosa. Ni wachache wasiojua kosa lililofanyika mwanzo ndio hupata mchepuko bomu zaidi ya wa ndani. Raha sana ukimpata wako wa kufanana naye ndiyo maana michepuko mingi huwa zaidi ya mke!!
Fight for your happiness chagua kinachoendana nawe mapemaaaa! la sivyo utaishia kuchepuka!
Mkuu ukikutana name wrong mchepuko ndo utaumia,ila ukikutana na mchepuko mwenye mapenzi ya dhati hutaumia ukiumizwa na mpenzi wako maana unakuwa na back up ya kukupa amani