Ms Billionaire
JF-Expert Member
- Jul 18, 2020
- 2,466
- 4,967
Ndugu Watanzania wenzangu, wapenda amani wenzangu. Nakuja mbele zenu jioni hii naomba wote kwa umoja wetu tuliombee Taifa letu.
Tuwaombee viongozi wetu, Tuombee familia zetu kwa ujumla lakini pia tumuombee Rais wetu Mhe. John Pombe Magufuli.
Nimeangalia picha za leo za Mheshimiwa ni kama mtu alieumia sana. Tumuombee apate Hekima na Busara🙏🏽 Tutafika.
Picha za Rais wangu zimenifundisha kitu kikubwa sana. Uchungu huwezi kuuficha kila siku ipo siku utakushinda.
Tuache mengine yote, tujikinge, tujilinde na tulinde taifa letu. Kila mmoja wetu anaumia.
Tuwaombee viongozi wetu, Tuombee familia zetu kwa ujumla lakini pia tumuombee Rais wetu Mhe. John Pombe Magufuli.
Nimeangalia picha za leo za Mheshimiwa ni kama mtu alieumia sana. Tumuombee apate Hekima na Busara🙏🏽 Tutafika.
Picha za Rais wangu zimenifundisha kitu kikubwa sana. Uchungu huwezi kuuficha kila siku ipo siku utakushinda.
Tuache mengine yote, tujikinge, tujilinde na tulinde taifa letu. Kila mmoja wetu anaumia.