Tulioishia shule ya Msingi tukumbushane!

Tulioishia shule ya Msingi tukumbushane!

La saba tujivunie jamani,maana bila sisi taifa lingekufa na njaa, kwa uwingi wetu la saba ni wakulima sasa basi bila sisi mtakufa na njaa nyie wakombatia vyeti,
kweri lafiki yang
 
Poleni sna mlioishia msingi

Kwaiyo mlikosa zile shangwe za kuwagegeda watoto wazur tofaut tofaut

Daah chuo raha ww askuambie mtu
 
La saba tujivunie jamani,maana bila sisi taifa lingekufa na njaa, kwa uwingi wetu la saba ni wakulima sasa basi bila sisi mtakufa na njaa nyie wakombatia vyeti,
Kweli kbs maisha kutegemeana, pia sisi wakulima bila hao wasomi huko hospitalini,bank, mahakamani sijui ingekuaje.
 
Back
Top Bottom