kirengased
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 6,005
- 6,665
Acha kujitoa ufahamu wewe, wekeni tume huru Sasa kama mnajiamini...shwaini!!Juzi walitishwa na nani hadi wakachagua madiwani wote wa ccm?
Acha kujitoa ufahamu wewe, wekeni tume huru Sasa kama mnajiamini...shwaini!!Juzi walitishwa na nani hadi wakachagua madiwani wote wa ccm?
Naomba nikiri wazi baada ya gia ya angani ya Mbowe & Lissu niliwageuka na kuwashambulia haswaa.Huku ni kuhangaika na kuteseka!
Hakuna uchaguzi Tanzania bwana ni maigizo tu ccm wanafanya. Uchaguzi gani unafanyika kwa sheria zilizoundwa na haohao ccm.Na wa madiwani juzi haukufanyika?